Hivi alishakuwa prof, ??!R.i.p professor
Ndiyo Mkuu. Alipandishwa cheo mwishoni mwa mwaka jana toka 'Senior Lecturer' hadi 'Associate Professor'.R.I.P MhadhiriHivi alishakuwa prof, ??!
Kweli alikuwa very fair, hamna mtu aliye supp katika somo lake law of tort, nakumbuka sana ucheshi wake na vituko vyake, alikuwa akija kutupa lecture baada ya 30 toka muda wa kipindi umeanza na hapo tax inamsubiri nje, huku kwenye lecture akituacha hoi kwa mifano ya matusi. RIPHe was a fair man....He will surely be missed by many!
apa anaejibu ni muajiri (udsm) au mihemko ya mtu tu anaejifanya anakijua sana chuo? kwa usomi uliopo pale ud we ulitaka uletewe malalamiko ndo hatua za makusudi kumpeleka india zichukuliwe? kweli hatuna wasomi, ni mamiwani tu makubwa usoni kumbe kichwani mapwo mpwo pwo!Acha kutafuta visingizio, mtu kesha kufa basi, nendeni mkazike Muendelee na Maisha!
Kama hayo uliyoyaandika ni kweli na wewe uliguswa sana na kutotendewa haki kwa Marehemu kwa nini hukuja hapa kuleta huo ulalamishi kabla hajafa?
Pia wewe na huyo unayemlaumu hamna tofauti, basi wote mmechangia kifo chake kwa maana ulijua kwamba hapewi matibabu anayostahili, na ulijua ni nini kinamsumbua, na kutokana na maelezo yako pia ulijua wapi anaweza kutibiwa na hatimaye kuokoa Maisha yake, lakini ukakaa kimya, sasa Amekufa ndio unakuja hapa na kuanza kuleta Umbeya na kutafuta Mchawi!
Professor Nguli wa sheria wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam A.K.Wambali,amefariki dunia muda mfupi uliopita,kwenye hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa.Katika uhai wake,atakumbukwa kama Mwalimu wa sheria aliyetukuka na mpigania haki za binadamu.Mungu amlaze mahali pema peponi.Amen
Nimfahamuvyo Prof Mukandala, hakuwahi kuwa mtu mwema kwa watu wote kwa kuwa amejawa sana na ubaguzi tukianzia kwa ukabila na kuwaona wa maana wale watu wake wa karibu tu (walio katika cycle yake). Mukandala, is not a goog administrator and manager. Wakati wanateua hawa ma VC busara itumike zaidi kuliko kuangalia CV zisizo za maana. Rest in Peace Prof. Wambali.
Kweli alikuwa very fair, hamna mtu aliye supp katika somo lake law of tort, nakumbuka sana ucheshi wake na vituko vyake, alikuwa akija kutupa lecture baada ya 30 toka muda wa kipindi umeanza na hapo tax inamsubiri nje, huku kwenye lecture akituacha hoi kwa mifano ya matusi. RIP
Professor Nguli wa sheria wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam A.K.Wambali,amefariki dunia muda mfupi uliopita,kwenye hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa.Katika uhai wake,atakumbukwa kama Mwalimu wa sheria aliyetukuka na mpigania haki za binadamu.Mungu amlaze mahali pema peponi.Amen