seyayi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 683
- 821
Nisimlie kidogo basi hiki kitabu. Maana title tu ni kiboko.kaptula la max shati la mao
Yani ma LEGEND kama hawa sijui kama watakuja kutokea tena zile kazi zao zimeandikwa kitaalam sana kwanini taifa siku hizi halizalishi watu wa namna hii TUKI sijui Takiluki wamelala tuPumzika kwa Amani Prof hakika vichwa maji na wale waliojifanya wamevaa kaptula la marx umewaacha.Mawazo yako yataishi (Kivuli kinaishi) Msalimie Shaaban Robert mwambie Tawasifu yake maisha yangu baada ya miaka 50 tunaendelea ingawa bado haijatimia,ukimuona Edwini Semzaba mwambie wakuu wa Shule siku hizi nao wamegeuka Magoswe,mpe hai nyingi Ben Mtobwa mzee wa pesa zinazonuka mwambie watu wanatanua nazo huku,bila kumsahau Elvis Musiba mzee wa njama.Wàsalimie waandishi wote ikiwezekana muendeleze fani katika Ulimwengu mwingine.Wasalamu.
You will go on the cell todayEeeh, wacha Bhwanah! Kweli?
Mbona kazi ipo nchi yetu hii? Huyo ni waziri wa elimu, sio?
Kwani kulikuwa na shida gani ya kuongea Kiswahili hapo, si hao ni wachina, kiingereza cha nini kama hakipandi.
mi huwa najiuliza sipati jibu, siku hizi hawaandiki, mtu unasoma aya moja unaona hamna kitu.Yani ma LEGEND kama hawa sijui kama watakuja kutokea tena zile kazi zao zimeandikwa kitaalam sana kwanini taifa siku hizi halizalishi watu wa namna hii TUKI sijui Takiluki wamelala tu
Humu ndani una wahenga aiseeAisee
Walikua wana m criticize mwalimu na sera zake za u communist walimsumbua sana enzi zileNisimlie kidogo basi hiki kitabu. Maana title tu ni kiboko.
Bageshi. Pitia uzi huu...Nisimlie kidogo basi hiki kitabu. Maana title tu ni kiboko.
Hapana alikuwa anasemwa mwalimu Nyerere kuwa nchi/Tanzania (Kaptula) lime mshinda.Kaptula la karl max, yule mwanafalsafa wa kiesraeli (Germany) au ??!
Ndiyo hivyo mkuuShawshank Redemption,
Dah! Profesa wetu ametuacha. Mwenyezi Mungu amweke mahali pema peponi.
Amefia Botswana
Gamba la nyoka!
Moja ya kazi nzuri kabisa ya Fasihi kutoka kwa huyu Prof.
Bahati mbaya aliandikia jamii ya watu wasio na utamaduni wa kusoma vitabu ama kupenda vya kwao.
R.I.P Prof.
Wamezoea kusoma mitadaoniNakubaliana nawe kabisa. Watanzania kusoma vitab n tatizo.