Chief Editor
JF-Expert Member
- Feb 18, 2019
- 777
- 2,272
"Walimwita kakulu. Sasa bado tunamwita kakulu na wajao watamwita vivyo hivyo. Ukweli wake umezingirwa na ukungu wa kisasili. Hakuna mtu aliyewajua barabara wazazi wake. Kuwako kwake kulianza kama mzaha. Yasemekana kuzaliwa kwake kulikuwa kwa ajabu wakati alipokuwa tumboni mwa mama yake alisikika mara nyingi akiingilia mazungumzo ya mama yake na wanawake wengine"
Kezilahabi (1991:1)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kezilahabi (1991:1)
Sent using Jamii Forums mobile app