Tanzia: Prof. Euphrase Kezilahabi amefariki dunia

Tanzia: Prof. Euphrase Kezilahabi amefariki dunia

Mwandishi Nguli wa Kazi za Fasihi ya Kiswahili Prof. Euphrase Kezilahabi amefariki dunia. Tutamkumbuka Kezilahabi kwa kazi zake kama Rosa Mistika, Uwanja wa Fujo, Kaptula la Marx, Nagona na Mzingile! Alitetea Mashairi ya Kisasa!

Hakika, Jabali limeanguka! Tumeondokewa pakubwa.

Pumzika kwa amani Euphrase Vincent Mfunzi Bagaza Tilibuzya Kezilahabi😭😭
duh kwaiyo ilo lote ni jina la mtu mmoja! haya bhana R.I.P
 
Apumzike kwa Amani Marehemu Kazilahabi,Hakika tasnia ya Uandishi imepoteza Mwandishi Nguli.
 
Mzee wa "Rosa Mistika", ametuachia hazina kubwa duniani.
 
Back
Top Bottom