Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,285
- 8,828
Profesa Gabriel Ruhumbika... Mkerewe mwingine katika fasihiHv kile kitabu cha "Miradi bubu ya wazalendo "aliandikaga nani sie huyu kweli??
Profesa Gabriel Ruhumbika... Mkerewe mwingine katika fasihiHv kile kitabu cha "Miradi bubu ya wazalendo "aliandikaga nani sie huyu kweli??
Mwandishi Nguli wa Kazi za Fasihi ya Kiswahili Prof. Euphrase Kezilahabi amefariki dunia. Tutamkumbuka Kezilahabi kwa kazi zake kama Rosa Mistika, Uwanja wa Fujo, Kaptula la Marx, Nagona na Mzingile! Alitetea Mashairi ya Kisasa!
Hakika, Jabali limeanguka! Tumeondokewa pakubwa.
Pumzika kwa amani Euphrase Vincent Mfunzi Bagaza Tilibuzya Kezilahabi😭😭
pole kwa familia, siku hizi hamna wandishi kabisa, Kezilahabi riwaya zake nzuri sana. Wapo wengi sana ila sijui hawaandiki!Apumzike kwa Amani Marehemu Kazilahabi,Hakika tasnia ya Uandishi imepoteza Mwandishi Nguli.
RIP Mzee KezilahabiMwandishi Nguli wa Kazi za Fasihi ya Kiswahili Prof. Euphrase Kezilahabi amefariki dunia. Tutamkumbuka Kezilahabi kwa kazi zake kama Rosa Mistika, Uwanja wa Fujo, Kaptula la Marx, Nagona na Mzingile! Alitetea Mashairi ya Kisasa!
Hakika, Jabali limeanguka! Tumeondokewa pakubwa.
Pumzika kwa amani Euphrase Vincent Mfunzi Bagaza Tilibuzya Kezilahabi😭😭
Pumzika kwa amani msezawe!AYU. :14:1
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
AYU. :14:2
Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
Pole kwa familia, ndugu jamaa na marafiki kwa kumpoteza mpendwa wao ila kuna tumaini ipo siku tutaonana tena Kristo ajapo mara ya pili
Rosa mimi alinitia kinyaa kwa tabia yake ya umalaya
Kumbe we ni MTU mzima mwenzetuGervas Makalo,
Hicho kipindi nilikuwa ninajifunza kusoma kwenye vitabu vya Juma na Rosa