Tanzia: Nimepata msiba

Tanzia: Nimepata msiba

Pole sana mkuu, hii ilishawahi kutokea njia ya kwenda Mtwara wakati hakuna Daraja, Ndugu yetu kama alivyofanya huyo marehemu alijotosa kwa kujigamba kuwa yeye anaweza kuogelea, lakini alipoteza maisha hapohapo. Kweli kama huna imani waweza sema kuwa alilogwa lakini mara nyingi huwa ni msongo wa mawazo.
 
walikuwa wanabishana kuwa yeye hawez kuogelea jamaa akabet kuwa anaweza ndo akajitosa, ni ajabu hatunae tena!

ushindani mwingine balaa kifo cha kujitakia kama vile kunywa sumu ....... au ndii mambo ya laana kufanya kitu kimazingaumbwe
RIP mkuu pole wafiwa
 
walikuwa wanabishana kuwa yeye hawez kuogelea jamaa akabet kuwa anaweza ndo akajitosa, ni ajabu hatunae tena!
Simple like that! Huu mkasa hauna tofauti na ule wa Mbagara. Nadhani inabidi tujifunze vitu vya kubishaniana.
 
Pole sana mkuu pamoja na wote walioguswa na msiba huu. Jipe moyo mkuu, tunawaombea kwa Mungu Awape faraja yake katika kipindi hiki kigumu.
Kazi ya Mungu haina makosa.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Lihimidiwe!
hivi hii ni kazi ya mungu jamani mtu kajirusha mwenyewe kwenye Panton?
poleni sana kwa msiba RIP marehemu
 
hivi betting ni synonymous na gambling. manake naona haya mambo siku hizi yameshika kasi sana.

namjua mtu tena ndugu yangu wa damu alishiriki gambling hadi ka eka bond na gari pamoja na pesa worth 50Mil na kaliwa zote.

sasa nashangaa tena huyu kabet juu ya uwezo wake wa kuogelea at the cost of his life. sijui ni limbukeni ama?
 
Bahari ina mambo yake!, hapo alipojirusha, basi inawezekana akapatikana hapo hapo baada ya muda, utashangaaaaaa
 
Pole sana mkuu. Ndugu zake wakapige ramli ili kujua kama ni kifo cha Mungu au kuna mkono wa mtu. Dunia uwanja wa fujo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom