Tanzia: Nimepata msiba

Tanzia: Nimepata msiba

mmh hapa kama kuna kauongo flani hivi.......yani mi nakaa hapa around ferry halafu cna hii habari? Halafu eti mweli ulikua umeonekana saa tisa usiku.is it posible? Nan alikua anatafuta huo mwili.

weee unakaa magogoni nini uliza wanaokaa kigambon watakwambia. aliruka juzi ili aogelee panton.likamfunika leo asubuh wavuvi.wamemuona wakamsogeza hadi feri tukaenda kuchukua mwili wake tumezika leo saa sita sasa uongo gani unaosemea wewe.
 
Sasa huyu roommate si ndo amekuja kupost apa kafiwa? Ama best friend hakuwa room mate??!
Mh nyie wanafunzi mna mambo.
Da nivea wadogo zako hao.

sio mimi niliyekua nimeongozana naye mimi.nilikua sina mtihan monday so nilipata taarufa maana tunakaa nyumba moja
 
Last edited by a moderator:
mmh hapa kama kuna kauongo flani hivi.......yani mi nakaa hapa around ferry halafu cna hii habari? Halafu eti mweli ulikua umeonekana saa tisa usiku.is it posible? Nan alikua anatafuta huo mwili.
ina maana wewe kukaa hapo ndio ujue kila kitu
 
Back
Top Bottom