Asante mpaka sasa hivi mwili hujaonekana
Asante mpaka sasa hivi mwili hujaonekana
Kwa maji ya chumvi na kipindi cha joto hivi kama hadi muda huu bado haujapatikana by kesho atakuwa ameharibika sana ukizingatia na mawimbi. At the same time ni lazima sharks wamtafune kidogo. Rest in Peace Bruda. Ila kifo cha kushangaza sana hicho!! Cha kutaka kuonesha ufundi kuwa unajua kuogelea? It can't get into my brain!!
Kapatikana leo mida ya saa 9 usiku tushamhifadhi kwenye nyumba yake ya milele tayari.
Kapatikana leo mida ya saa 9 usiku tushamhifadhi kwenye nyumba yake ya milele tayari.
walikuwa wanabishana kuwa yeye hawez kuogelea jamaa akabet kuwa anaweza ndo akajitosa, ni ajabu hatunae tena!
Mh mamicho is that for real? Mi nimeambiwa walikuwa wanashindana pepa na mwenzake so hilo pepa la juzi ndo lilikua gumu akaona atafeli so akajirusha!
cyo pepa, n kama nlivyosema aliongozana na rumate wakati wanarud kutoka kwny pepa!
Sasa huyu roommate si ndo amekuja kupost apa kafiwa? Ama best friend hakuwa room mate??!
Mh nyie wanafunzi mna mambo.
Da nivea wadogo zako hao.