TANZIA: Mzee Kitwana Kondo afariki dunia

TANZIA: Mzee Kitwana Kondo afariki dunia

Inna lillahi wainna ilaihi rajiuun. Nakukumbuka mzee Kitwana Kondo uliyekuwa huna elimu kabisa ya kuwa meya wa Dar. Nakukumbuka hasa kwa ule ufisadi wako wa kuuza open spaces za jiji! Na hasa ile kali uliyotaka kuwauzia kina Dewji open space ya mnazi mmoja bila aibu!!!! Dewji alishaanza kuizungushia uzio mchana kweupe. Baada ya wananchi kuwashikia mabango halmashauri ya jiji hatimaye serikali ikaingilia kati na kufuta mkataba ule wa kifisadi.
Sio akina Dewji wacha shombo we mgalatia !
 
Kijijini kwetu hilo mbona kawaida sana!
Ila tukija Dsm, lazima muhame jiji, na kitimoto kinatufuata hapa hapa!
Washamba m'meingia mjini, tatizo hamjifunzi ustaarabu. Bado mkinya mnajifuta na makatasi na mnafuga nguruwe na ng'ombe majumbani mwenu kama huko vijijini mwenu
 
Washamba m'meingia mjini, tatizo hamjifunzi ustaarabu. Bado mkinya mnajifuta na makatasi na mnafuga nguruwe na ng'ombe majumbani mwenu kama huko vijijini mwenu
Yes, ndo thi thi, thi thi wa shamba!
Halafu cheki Magogoni yupo nani!
 
Back
Top Bottom