casta mvungi
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 210
- 189
R.I.P mzee Kitwana Kondo alamarufu KK.
Wakuu huyu si ndo mume wa Sophia Simba au nimekose?
Wakuu huyu si ndo mume wa Sophia Simba au nimekose?
Acha dhihaka wewe,Mungu anasamehe Marehemu?Omba toba ukiwa hai,Acha ibada za mizimu,Eti amsamehe,muda wa msamaha ni wakati ukiwa hai jombaa!
Ndio maana nikaomba kufahamishwa.Labda uko chini ya 30 yrs, hivyo huwezi juwa
Mkuu hayo matumaini yako makubwa hivyo yanatokana na nini labda kwa mfano??
Ni kweli Mkuu wangu,Marehemu ndiyo mwenye Mkoa wake wa Dar es Salaam halafu ndiyo Msela na Mtoto wa mjini namba moja wa Jiji hili.
Wadau Kwema?
Kuna tetesi kua Mbunge wa zamani wa Kigamboni na Meya wa Jiji la Dar es salaam Bwana Kitwana Kondo (KK) amefariki Dunia Mchana huu; kuna mwenye taarifa zaidi ya hii kitu?
Alikuwa amelazwa hospitali ya Hindu Mandal
======
UPDATE:
======
Toka kwa Tunkamanin,
Inna lillahi wainna ilaihi rajiuun.
Mzee Kitwana Kondo, KK amefariki dunia jioni hii katika Hospitali ya Hindu Mandal. Atazikwa kesho 25/5/2017 In Shaa Allah
Wakati wa uhai wake, Kitwana Kondo aliwahi kuwa Mbunge wa jimbo la Kigamboni na Meya wa Jiji la Dar es Salaam.
Ni hivi karibuni alitembelewa na Ndg. Edward Lowassa > Mzee Edward Lowassa amtembelea Mzee Kitwana Kondo hospitali ya Hindu Mandal
Aidha, unaweza kusoma pia > Hotuba ya Al Hajj Kitwana Kondo, Mbunge wa Kigamboni mwaka 1999 Bungeni Dodoma
Ni kweli Mkuu wangu,
Ila Jamaa nae atajifanya ndie mwenye Nchi, so akifikiria Mwenye Nchi v/s Mwenye Mkoa obviously atapotezea tu kama alivyopotezea Kagera, Arusha etc
Meya wa Jiji la Dar es salaam enzi ya Chama kimoja.Alikuwa nani?