TANZIA: Mzee Kitwana Kondo afariki dunia

TANZIA: Mzee Kitwana Kondo afariki dunia

Abudist,
Ingetosha kwa mimi kukunyamazia kimya lakini nimeona vyema nikufahamishe
lile ambalo wewe hulijui.

Mzee Kondo amekaa darasani vizuri yeye ni mhitimu wa Howard University,
Marekani.

Mzee Kondo bila shaka kwa yale mafunzo yake katika Idara ya Usalama ya
Kiingereza alikuwa bingwa wa kumpoteza yeyote asimjue.

Nakueleza haya kwa kuwa mimi Mzee Kondo alikuwa baba yangu kwa hiyo
nimekuwa karibu na yeye, nimemfahamu vizuri na nimejifunza mengi kutoka
kwake.

Kwanza alikuwa na ujuzi mkubwa sana wa lugha ya Kiingereza lakini hakupenda
watu walijue hili.

Mzee Kondo alikuwa anaijua vyema historia ''ancient,'' na ''modern.''

Nakumbuka siku moja alipotushangaza mimi na wenzangu alipotupa historia ya
Oliver Cromwell.

Siku nyingine alitushangaza tena alipotupa historia ya Saddam Hussein na Abdul
Karim Kassim
aliyekuwa Waziri Mkuu wa Iraq.

Mzee Kondo alikuwa hodari wa kuhifadhi nukuu za wasomi wakubwa neno kwa neno
kwa lugha zote, Kiingereza na Kiswahili.

Mzee Kondo akimpenda sana mshairi, Muyaka bin Haj (1776 - 1840) na alihifadhi
beti zake nyingi.

Ajabu ni kuwa Kitwana Kondo ukimchukulia kuwa, ''hamna kitu,'' hatokukatisha tamaa
alipenda, kile Waingereza wanaita, ''to play dumb,'' yaani kujifanya mbumbu, ikiwa wewe
utamchukulia hivyo.

Abdudist, wewe kama wengi wa mfano wako umelambwa kichogo na baba yangu.
Mwisho ningependa kukunasihi kuwa maiti haisemwi vibaya.

Tumwache mzee wetu apumzike kwa amani.
Marehemu, daima watu wanapenda kumkumbuka kwa mema, wakisahau yale mabaya yake.

KK wa Dar vile vile alikuwa na historia hasi, ambayo inaweza kuwa chafu!

Tunakumbuka kinyang'anyiro cha ubunge kati yake na Martha Wejja, ambapo alibwagwa.
Jaji wa kesi ile alikufa katika mazingira ya utatanishi.

Vile vile katika Wilaya ya Temeke, alitokea kupatikana Mwenyekiti wa Wilaya aliyekaa wilayani humo zaidi ya miaka 40 akitokea sehemu za Mbeya.
Alifanyiwa kampeni kuondolewa MISIKITINI!
Kampeni hizo ziliongozwa na KK wa Dar.
Historia yake katika utumishi katika idara nyeti, toka enzi za ukoloni ziko na giza.
Hayo mawili nayafahamu kwa vile pamoja na yote hapa Dar nipo long time.
 
Na Mkwe pia!

Mola amhifadhi na Amsamehe Jemedari wa Dsm!

Pole Comrade Kinana na Dkt Dau kwa kuondokewa na Mlezi wenu wa Kitaaluma!

Pohamba, nilidhani wewe ni mtoto wa mjini Mzizima, naona humjui vizuri kumbe KK wa Dar, hakuwahi kuwa Mkwe wa Mzee Rukhsa ile ilikuwa ni confusion tu! watu wakaivumisha! nalijua hili sakata na nawajua hao Mabint walozushiwa kuwa wameolewa na Mzee Rukhsa, NI UZUSHI WA MCHANA KWEUPE !
 
Marehemu faima watu wanapenda kumkumbuka kwa mema, wakisahau yale mabaya yake.

KK wa Dar vile vile alikuwa na historia hasi, ambayo inaweza kuwa chafu!

Tunakumbuka kinyang'anyiro cha ununge kati yake na Martha Wejja, ambapo alibwagwa.
Jaji wa kesi ile alikufa katika mazingira ya uatanishi.

Vile vile katika Wilaya ya Temeke, alitokea kupatikana Mwenyekiti wa Wilaya aliyekaa wilayani humo zaidi ya miaka 40 akitokea sehemu za Mbeya.
Alifanyiwa kampeni kuondolewa MISIKITINI!
Kampeni hizo ziliongozwa na KK wa Dar.
Historia yake katika utumishi katika idara nyeti, toka enzi za ukoloni ziko na giza.
Hayo mawili nayafahamu kwa vile pamoja na yote hapa Dar nipo long time.

Kwanini hukuwa Raia Mwema kusaidia Dola kuhusu Uhusiano wa Kifo cha Jaji na Mzee KK?

Halafu punguza Speed, Mwenkt wa Wilaya wa kitu gani alieondolewa Msktn?
 
Pumzika kwa Amani Baba yangu, Mwenye ez Mungu anasema alimuumba Bin adam Dhaif, basi kwa hilo Mola wetu Msameh Mzee wetu na umuondolee adhabu ya Kaburi! na jaalia Kaburi lake liwe moja ya makaburi ya viwanja vya peponi, na utakase dhambi zake kwa maji ya thalji, kama inavotakasika nguo nyeupe kutokana na uchafu na ikabaki nyeupe! Pumzika kwa amani Baba yangu ! hakika SISI TUNAKULILIA NA TUTAENZI YALE ULOTUACHIA NI MAJONZI KWA KILA MWANA MZIZIMA KINDAKI NDAKI HAKIKA TUMEONDOKEWA! na sidhani kama atatokea kama KK, Allah amrehem
 
Marehemu faima watu wanapenda kumkumbuka kwa mema, wakisahau yale mabaya yake.

KK wa Dar vile vile alikuwa na historia hasi, ambayo inaweza kuwa chafu!

Tunakumbuka kinyang'anyiro cha ununge kati yake na Martha Wejja, ambapo alibwagwa.
Jaji wa kesi ile alikufa katika mazingira ya uatanishi.

Vile vile katika Wilaya ya Temeke, alitokea kupatikana Mwenyekiti wa Wilaya aliyekaa wilayani humo zaidi ya miaka 40 akitokea sehemu za Mbeya.
Alifanyiwa kampeni kuondolewa MISIKITINI!
Kampeni hizo ziliongozwa na KK wa Dar.
Historia yake katika utumishi katika idara nyeti, toka enzi za ukoloni ziko na giza.
Hayo mawili nayafahamu kwa vile pamoja na yote hapa Dar nipo long time.

Itakuwa lazma unatokea BARA! SISI WANA WA MZIZIMA DAIMA TUTAMUENZI NA KUTHAMINI YOTE ALOTUFANYIA WAKAZI WA MZIZIMA.

kuna jambo watu hawalisemi! na nashangaa vipi limesahaulika! kuna kipindi wakaazi wa Kariakoo WALISIMAMISHWA KUJENGA NYUMBA ZAO kwa kuwa kulikuwa na mradi wa chini chini unaofanana na wa Kigamboni! Mzee KK ALISIMAMA IMARA AKALIKEMEA HATIMAE WAKAAZI WA KARIAKOO WAKARUHUSIWA KUJENGA! HAKIKA TUTAMKUMBUKA BABA YETU !
 
Itakuwa lazma unatokea BARA! SISI WANA WA MZIZIMA DAIMA TUTAMUENZI NA KUTHAMINI YOTE ALOTUFANYIA WAKAZI WA MZIZIMA.

kuna jambo watu hawalisemi! na nashangaa vipi limesahaulika! kuna kipindi wakaazi wa Kariakoo WALISIMAMISHWA KUJENGA NYUMBA ZAO kwa kuwa kulikuwa na mradi wa chini chini unaofanana na wa Kigamboni! Mzee KK ALISIMAMA IMARA AKALIKEMEA HATIMAE WAKAAZI WA KARIAKOO WAKARUHUSIWA KUJENGA! HAKIKA TUTAMKUMBUKA BABA YETU !
Aliuza sana viwanja na akina Bagdad watamkumbuka,pia pole kwa mama Simba
 
Itakuwa lazma unatokea BARA! SISI WANA WA MZIZIMA DAIMA TUTAMUENZI NA KUTHAMINI YOTE ALOTUFANYIA WAKAZI WA MZIZIMA.

kuna jambo watu hawalisemi! na nashangaa vipi limesahaulika! kuna kipindi wakaazi wa Kariakoo WALISIMAMISHWA KUJENGA NYUMBA ZAO kwa kuwa kulikuwa na mradi wa chini chini unaofanana na wa Kigamboni! Mzee KK ALISIMAMA IMARA AKALIKEMEA HATIMAE WAKAAZI WA KARIAKOO WAKARUHUSIWA KUJENGA! HAKIKA TUTAMKUMBUKA BABA YETU !
Yes, na zaidi ya 80% ya wakazi Dsm wana asili ya bara.
Dsm in watu karibia milioni 5, na wakazi wa asili hapa utwakuta Kisaraww, Kimanzichana, Kibugumo, Kerege na kwingineko.
Mtazamo kwamba Dsm ni ya wazaramo itakuwa proved wrong na wahamiaji mamilioni wansoiunda Dsm.
 
Kwanini hukuwa Raia Mwema kusaidia Dola kuhusu Uhusiano wa Kifo cha Jaji na Mzee KK?

Halafu punguza Speed, Mwenkt wa Wilaya wa kitu gani alieondolewa Msktn?
Ndo nakusaidia hivo uelewe kuwa aliowawahisha kule waendako wasiirudi, naye kaingia hukohuko.
 
Ndo nakusaidia hivo uelewe kuwa aliowawahisha kule waendako wasiirudi, naye kaingia hukohuko.

Huna Ubinadamu Ndugu yangu!

Kama una ushahidi Mzee KK alihusika na Mauaji na ukakaa na hiyo siri Miaka Dahri mpaka tukipomzika ndio unaanza kuropoka Basi kwangu huna maana yoyote wala huna maana kwa Nchi yako
 
Daaah Rest In Eternal Peace Kitwana Kondo...Nakukumbuka kwa ule usemi wako maarufu bungeni kwamba"hata chini ya bahari Ngisi huwa anamnong'oneza Pweza kwamba hapa tunatafutwa sisi"

Enzi akiwa Mayor wa Dar...Rais alikuwa Mwinyi na Mkuu wa mkoa alikuwa Ditopile huku Diria na Kighoma Malima wakiwa mawaziri waandamizi...Duuuh hii nchi iliwahi kumilikiwa na watu bana...
 
Huna Ubinadamu Ndugu yangu!

Kama una ushahidi Mzee KK alihusika na Mauaji na ukakaa na hiyo siri Miaka Dahri mpaka tukipomzika ndio unaanza kuropoka Basi kwangu huna maana yoyote wala huna maana kwa Nchi yako
What goes around, comes around!
 
RIP KK. Nakumbuka dsm ilivyokua chafu wakati wa kipindi kk ni meya wa jiji. Mazuri washasema wengine.
 
Nimepeleleza nikagundua ana Miaka 92 inatosha Kabisa Kuishi Dunia Happy death to him.

Wafiwa tusherekee vema Maisha ya Kondo.
Kwa Mu'umin kifo ni funzo na tafakuri, kwa Kafir ndio sherehe !
 
Sredi inakata posti hii ni ya 144, like 4 ya mtoa mada!
Kweli KK wa Dar ana enziwa!
 
Back
Top Bottom