msem
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,837
- 1,631
Meya wa jiji la Dar enzi za Alhaji Mwinyi (awamu ya pili0alikuwa ni nani???
Meya wa jiji la Dar enzi za Alhaji Mwinyi (awamu ya pili0alikuwa ni nani???
watoto wa 2000 mna shida sanaalikuwa ni nani???
Wewe ni mtoto mdogo ndio maana humjuimtoa mada umeleta mada kama wote 2namfaham mzee kitwana kondo anyway pumzka kwa aman mzee kitwana kondo
Wasikusumbue akili. Hao hata Kawawa hawajui alikuwa nani. Google siku hizi ina taarifa nyingi tu. Uki google Kitwana Kondo unapata links. Sasa hata ku google hawajihangaishiWewe ni mtoto mdogo ndio maana humjui
Dogo hata ABC za information literacy huna...Google has all the answers...alikuwa ni nani???
Ungekuwa ni msomaji wa maandiko ungemfahamu tu...Hata ku google umeshindwa?mtoa mada umeleta mada kama wote 2namfaham mzee kitwana kondo anyway pumzka kwa aman mzee kitwana kondo
we kiazi soma post zote...Unauliza swali ambalo wenzio wameuiliza na kujibiwaaAlikuwa nani?
we kiazi soma post zote...Unauliza swali ambalo wenzio wameuiliza na kujibiwaaAlikuwa nani?
Kumbe alikuwa bado yupo hai?! rip kk ulitesa sana enzi zakoWadau Kwema?
Kuna tetesi kua Mbunge wa zamani wa Kigamboni na Meya wa Jiji la Dar es salaam Bwana Kitwana Kondo (KK) amefariki Dunia Mchana huu; kuna mwenye taarifa zaidi ya hii kitu?
Alikuwa amelazwa hospitali ya Hindu Mandal
======
UPDATE:
======
Toka kwa Tunkamanin,
Inna lillahi wainna ilaihi rajiuun.
Mzee Kitwana Kondo, KK amefariki dunia jioni hii katika Hospitali ya Hindu Mandal. Atazikwa kesho 25/5/2017 In Shaa Allah
Wakati wa uhai wake, Kitwana Kondo aliwahi kuwa Mbunge wa jimbo la Kigamboni na Meya wa Jiji la Dar es Salaam.
Ni hivi karibuni alitembelewa na Ndg. Edward Lowassa > Mzee Edward Lowassa amtembelea Mzee Kitwana Kondo hospitali ya Hindu Mandal
Aidha, unaweza kusoma pia > Hotuba ya Al Hajj Kitwana Kondo, Mbunge wa Kigamboni mwaka 1999 Bungeni Dodoma
R I P Mzee Kondo, tunakukumbuka kwa mengi hasa hili la wanafunzi kumuita Mzee wa wakati huo "shemeji"