Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Poleni wafiwa na makanda wote Iringa, Mungu awatie nguvu na uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu cha msiba!!
Sisi ni mavumbi na mavumbini tutarejea....upumzike kwa amani mpambanaji....sisi tuliobaki na pumzi tunaendeleza mapambano ingawa ni jambo lenye kuvunja moyo kumpoteza kamanda kati kati ya mapambano lakini hatuna kuendelea na mapambano kwani ndio njia pekee ya kukuenzi.....
RIP....
Mnapambania nini?? Acheni upuuzi hapa ni msibani mtakieni heri marehemu inatosha..Mungu ampe pumziko la milele. Msalimie kamanda Mawazo, mwambie sisi mapambano yanaendelea