KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,143
- 32,889
Samahani ndugu kama umekwazika na andiko langu....lakini pia unatakiwa ujifunze kuheshimu hisia za wengine....kama wewe huyu aliyekufa hana maana kwako basi haimaanishi kuwa hana maana hata kwetu sisi....nilichoandika pale ni kuonyesha ni jinsi gani nimeguswa na msiba wa huyu ndugu yetu....kama wewe umefurahishwa na msiba hu basi utakuwa na matatizo yako mwenyewe...Mnapambania nini?? Acheni upuuzi hapa ni msibani mtakieni heri marehemu inatosha..
RIP Kamanda