Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Poleni sana wana-JF, poleni sana ndugu na jamaa....RIP Wasaimon

Tunakushukuru sana PakaJimmy kwa uwakilishi............
 
Last edited by a moderator:
Mod embu tuwekeeni comment zake kama kumkumbuka.Mungu amlaze anapostahili
 
Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Poleni wote wana jf na ndugu wa marehemu
 
Gone so soon Brother ... Poleni sana wana familia, MUNGU awape faraja na nguvu ya uvumilivu!
 
Naogopa kuacha huu uzi bila maneno yenye kuonesha hisia nilizonazo dhidi ya tatizo hili! Pumzika salama uendako KAMANDA.
 
PakaJimmy, Asante kwa taarifa ya msiba wa mwana JF mwenzetu. Nina swali moja dogo, pamoja na kwamba mwenzetu ametangulia mbele ya haki bado tuna sababu ya kuficha jina lake halisi? Kwa nini usimtaje tu kwa jina lake? Nakumbuka kuna mwana jamvi mmoja alifariki mwaka juzi tulifahamishwa kifo chake na jina lake halisi lilitajwa. Lakini kama una sababu za msingi za kutotaja jina lake halisi, basi ibaki kama ilivyo. Kuna watu wawili watatu hapa JF wanajua jina langu halisi. Siku nikatagulia mbele ya haki, nilishawaruhusu kutangaza kifo changu na kutaja jina langu halisi. RIP Kamanda Waisamon!!! Tiba
 
Raha ya milele umpe ee Bwana, mwanga wa milele umwangazie, Apumzike kwa amani.
 

Pole kwa wafiwa R. I. P.
 
Pole kwa wafiwa,pole kwa wana JF.Bwana alitoa na Bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Poleni wafiwa. Hii ni habari ya kuhuzunisha sana.
Pakajimmy asante mkuu. Endelea kutupa updates
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…