Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Wana JF poleni sana. Nafurahishwa na jinsi tunavyokuwa pamoja kwa mambo ya msingi na mazito kama haya.

MUNGU AILAZE MAHALI PEMA ROHO YA MAREHEMU
 
Pakajimmy mm niko Arusha naomba unipe ramani ya kwenye msiba! au unipm namba yako nikupigie unielekeze mkuu, kiukweli roho imeniuma sana! maana leo yeye kesho sisi!
 
[h=2]topic: nimetoka kuzini (mungu nisamehe)![/h] by wasaimon

replies163views3,288

[h=3]
icon1.png
re: Nimetoka kuzini (mungu nisamehe)![/h]
mungu na akusamehe na akupe nuru mpya ya kuweza kutambua mazuri na mabaya.....barikiwa kwa upya!!
Kuwa makini brooo.

Amen!​
kaka hayo hapo juu ndio maneno yako ya mwisho kwangu! Akilini kwangu yatakaa! Na moyoni kwangu nitayaweka ,,nitajitahidi kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote na kwa moyo wangu wote nihudhurie mazishi yako! Japo nikuone kwa mara ya kwanza na ya mwisho ndugu yangu! Ulale salama wasaimon!
 
kaka hayo hapo juu ndio maneno yako ya mwisho kwangu! Akilini kwangu yatakaa! Na moyoni kwangu nitayaweka ,,nitajitahidi kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote na kwa moyo wangu wote nihudhurie mazishi yako! Japo nikuone kwa mara ya kwanza na ya mwisho ndugu yangu! Ulale salama wasaimon!
Nitawafahamisha mipango ya mazishi in case kama atazikwa Arusha. Kuna uwezekano mkubwa akasafirishwa kwenda kwao Mbeya.
 
R.I.P Mwanajamvi.
Mungu awafiriji nyote na kuwafanyia wepesi katika wakati huu mgumu
 
Kweli jamani dunia sio fair yaani ndio nimetika kumzika rafiki yangu kipenzi kafia labour alikuwa anafanya kazi Ardhi na amekufa na mtoto tumboni,nakuja jamvini nijiliwaze nakutana tena na Tanzia sijui niende wapi mimi jamani jamani Mungu wangu may their soul rest in peace jamani,mungu tusaidie
 
Kweli jamani dunia sio fair
yaani ndio nimetika kumzika rafiki yangu kipenzi kafia labour alikuwa
anafanya kazi Ardhi na amekufa na mtoto tumboni,nakuja jamvini
nijiliwaze nakutana tena na Tanzia sijui niende wapi mimi jamani jamani
Mungu wangu may their soul rest in peace jamani,mungu tusaidie

Pole sana. Tunapaswa tukumbuke kuwa kifo ni lazima kwa kila nafsi na hakuna anayejua saa ngapi kitamkuta. R. I. P wapendwa.
 
Ninawapa pole sana wanafamilia woote wa karibu waliofikwa na msiba huu Mungu watie nguvu na kuwafariji.
 
Back
Top Bottom