KyemanaMugaza
JF-Expert Member
- Jan 7, 2025
- 343
- 561
Za usiku huu wakuu,
Mchambuzi nguli wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Gwandumi Mwakatobe, amefariki dunia. Mazishi yake yamepangwa kufanyika siku ya Jumanne mjini Sumbawanga
Binafsi nimekuwa nikifatilia uchambuzi wake kwenye kipindi cha maoni mbele ya mawazo ya meza ya duara kupitia DW hakika alikuwa mjuzi wa mambo mengi, ni pigo kubwa kwa tasinia ya uchambuzi wa matukio mbalimbali ya ndani na kimataifa.
Apumzike kwa amani ndugu yetu
Mchambuzi nguli wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Gwandumi Mwakatobe, amefariki dunia. Mazishi yake yamepangwa kufanyika siku ya Jumanne mjini Sumbawanga
Binafsi nimekuwa nikifatilia uchambuzi wake kwenye kipindi cha maoni mbele ya mawazo ya meza ya duara kupitia DW hakika alikuwa mjuzi wa mambo mengi, ni pigo kubwa kwa tasinia ya uchambuzi wa matukio mbalimbali ya ndani na kimataifa.
Apumzike kwa amani ndugu yetu