likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,072
UMRI HUO ANATUMIA VIAGRA ANGEKUWA MZEE VP
Namfahamu marehemu...Habari
Kuna taarifa ya kusikitisha! Mmoja wa wahitimu wa udom 2017 amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa nyumba ya kulala wageni.
Chanzo:
Alitumia viagra vidonge vitatu (3).
Kifo chake kilitokea baada ya mwenzake jinsia ya kike akiwa ameshindwa kumudu shughuli ya tendo la ndoa kulingana na dawa hizo kuwa zaidi ya kiwango husika.
Kwao na marehemu ni Magu mkoani Mwanza.
Rai yangu:
Vijana tujaribu kuwa waangalifu hususani na dawa za aina hii, na wengi huwa wanadhani wanataka kukomoa.
Tubadilike katika hili, elimu sio darasani pekee.
Nb:
Wale wa mambo ya m-congo kuweni makini pia.
Kiustaarabu sio vyema kusema kitivo alichosomea wala jina lake.
Niwatakieni asubuhi njema.
Ahsanteni
Yeye hana shida na hali yake, shida ni huyo demu wake sasa, kila siku kulalamika, mwanaume gani wewe, unasugua dakika arobaini na tano ndo umwage unajiona mjanja, wenzio wanapiga goli moja baada ya masaa mawili, unajitia mjanja unapiga bao tano tu kwa naiti moja unajiona wewe ndo mwanaume, wenzio wanamwaga mpaka goli kumi na mbili kwa naiti moja. Sasa kidume ukisikia hivyo na mtoto ndoumemfia unafanya nini? si unatafuta mamluki wakusaidie, ndo hapo sasa unabwia ma viagra na matakataka mengine sijui ya kongo.Mmh.. Kwanini mtu asitosheke na hali yake? Hii kutafuta ziada matokeo ndo hayo
... Amuweke mahala panapostahiki. Ameen.
Mwanaume mashinewekeni na kapicha,
wazazi tunakopa ili wasome
kumbe wenzetu wanaenda kupima nguvu;
Wanaume wa mkoaniMarehemu kafa akilitumikia taifa. amekufa kishujaa sana. watu wa dodoma hayo mambo why? kuleni tu vizuri na fanyeni mazoezi achaneni na hayo mambo jamani.
Hapa namkumbuka yule boss alifia Morogoro......Yeye ni wa kwanza kufa kwa tendo hilo?