Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
hapa unamaanisha niniKifo chake kilitokea baada ya mwenzake jinsia ya kike akiwa ameshindwa kumudu shughuli ya tendo la ndoa kulingana na dawa hizo kuwa zaidi ya kiwango husika.
hapa unamaanisha niniKifo chake kilitokea baada ya mwenzake jinsia ya kike akiwa ameshindwa kumudu shughuli ya tendo la ndoa kulingana na dawa hizo kuwa zaidi ya kiwango husika.
swali gani hilo mkuu unauliza? ni sawa na kuwauliza wabwia unga wanapata raha gani, labda uwe umeshatumia!Nikisha Meza Hayo Makitu NAPATEJE Sasa Furaha Ya Tendo Hilo La Ndoa
Mambo Mengine Bhana
Kiviere Wa Usangi
Zimwage hapa watu wapate kupona.Hivi unaanzaje kula mavidonge wakati kuna tecnic zisizo na madhara kabisa unazoweza kuzitumia na ukapiga mzigo balaa