Mbona kwake hapa Shinyanga Hamna dalili Ya msiba?
hapo nyuma ya Nssf,ccm,alishahama mkuu
RIP Mufti wetu. Misimamo yako yenye kujali utu, utaifa, umoja, na mshikamano wa kitaifa kwa hakika ni alama njema uliyotuachia. Upumzike kwa amani Sheikh. Maziko sijui ni saa ngapi na wapi nikamzike kiongozi huyu muadilifu.
R.I.P baba Mwanahawa............Mungu akurehemu huko ulipo. Poleni sana watoto wake Maimuna et al na wote tulikokuwa shinyanga enzi hizo.
Ila nina wasiwasi na huyu mtoto wa Sheikh Yahya Husein kila wakitabiri kuwa kuna kiongozi wa kisiasa atafariki.....wanaondoka wa upande wao