10000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 837
- 781
Siwezi ku-comment kwa sasa mpaka ithibitike.
sasa hapo umefanyeje?
Mzee katukimbia kabla ya mwezi mtukufu aisee.
Siwezi ku-comment kwa sasa mpaka ithibitike.
Innalilah wainallah rrajuun..
Kazi ya Mungu aina makosa mbele yake nasi tutafuatia,,Subhana amsamehe makisa yake Inshallah
Muda mfupi uliopita nimepata taarifa kuwa Kiongozi Mkuu wa Waislamu nchini Tanzania Mufti Issa Bin Shaaban Simba amefariki dunia.
Hakika ni majonzi na pigo kubwa kwa Waislam na watanzania kwa ujumla. Amezaliwa Shaaban na ameondoka ndani ya mwezi wa Shaaban,Innalilah wainailah Rajiun.
Mwenyezi mungu ampe kauli thabiti na amjaalie pepo ya kheri na kumsamehe madhambi yake.
The Grand Muft of Tanzania has passed away.