TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

Du! kweli wema hawadumu, R. I. P muft
 
RIP mufti simba. Pole kwa familia yake, ndugu na waumini wote.
 
Alhamdullilah........death is part of life.Kifo ni funzo kubwa kwetu binadamu.Pia tunaambiwa KIBRI ni vazi la ALLAH.... tufuate tuliyoamrishwa na tuache tuliyokatazwa.
 
Poleni sana ndugu zetu waislamu kwa msiba wa kiongozi mkuu. Mungu awape nguvu kipindi hiki kigumu hasa wakati mkikaribia katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Naamini mungu atawajalia mpate kiongozi mwingine imara kwa maslahi ya imani yenu na umoja wetu sote na upendo kwetu sote kama watanzania. Hakika ni msiba wetu sote. RIP
 
Huyu ndo baba wa yule dogo anakujaga pale tamaduni music msasani...?
 
Back
Top Bottom