TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

waislamu na uislam wao bhana...yaan ni manung'uniko na fujo kila mahal, dunia nzima. huwez kuta hawa jamaa wameridhika. mara hawa wameteka msikikiti, mara wale hawamtaki shekhe mkuu, yaan ni shaghalabalha

Umesahau Vita ya Jimbo la Kanisa Arumeru ? Wameru walikunya Altareni na kuwapiga mawe Maaskofu wa Kichaga.
Mrema katika ubora wake akahamgaia nalo kidogo limtoe roho!
Kuwa na kumbukumbu Mgalatia moshdar
Watu wamekunya Altareni mbele ya Bwana Yesu. Wameru walimnajisi
 
Last edited by a moderator:
Daaah soma yakwanguu basi hyooo nimeishia la pili B nina degree ya eli kitaaa
 
Tukiwaambia Viongozi wa Bakwata ni kambi ya CCM hamtaki kuamini leo kifo cha Mufti kimetuonyesha mengi hata kuvunja misingi ya dini kwa sababu za kisiasa. Hata mfalme wa Saudia alizikwa siku hiyo hiyo pasipo kumsubiri Obama ama viongozi wa kimataifa na huyu alikuwa sii kiongozi wa dini bali kiongozi wa nchi.

Mkandara hebu tupe msingi wa dini uliovunjwa? Au unafuata mkumbo tu Mkuu. Hakuna lazima ya kuzikwa kwa maiti siku hiyo hiyo kwenye Uislamu. Mtume Muhammad (SAW) alifariki Jumatatu na kuzikwa Jumatano. Mfalme wa Saudia hata sio kiongozi wa kidini ndio umeona utolee mfano?Kifo cha Mufti Simba msikitumie kisiasa. Mwacheni marhum apumzike mahali pema peponi. Amin
 
Kwanza natoa mkono wa pole kwa bakwata na waislam wote wa Tanzania kufuatia msiba mzito wa mpendwa wao,kiongozi wao.Lakini ningependa kuwaasa wanasiasa hasa watangaza nia wa ccm kutoutumia msiba huo kujinufaisha na kufanikisha ndoto na tamaa zao za kisiasa.Nayasema Haya kama tahadhari kutokana na ukweli kwamba katika miaka hii ya karibuni tumekua tukishuhudia wanasiasa hasa wa ccm wakizitumia nyumba za ibada pamoja na viongozi wa nyumba hizo kujipatia umaarufu wa kisiasa.Sasa kwa kuwa huu ni msiba wa kiongozi mkubwa kabisa wa dini ni wazi wapambe wa wagombea watakua katika harakati za kuuteka msiba na kuufanya ni jukwaa la kufanyia kampeni zao.Mara hii Tunaomba hili lisifanyike tuweke heshma kwa msiba kwa kuwa sisi sote hata wataka urais ni marehemu watarajiwa.

Nawasilisha.

nadhani ushauri wako huu umeutoa mahala siyo sahihi na kwa wakati usio sahihi pia. siasa za tanzania zina mfumo wa maji taka tupu!
 
Umesahau Vita ya Jimbo la Kanisa Arumeru ? Wameru walikunya Altareni na kuwapiga mawe Maaskofu wa Kichaga.
Mrema katika ubora wake akahamgaia nalo kidogo limtoe roho!
Kuwa na kumbukumbu Mgalatia moshdar
Watu wamekunya Altareni mbele ya Bwana Yesu. Wameru walimnajisi

Mufti mnampumzisha lini Maalim.
 
Last edited by a moderator:
wewe ni kiazi kilichooza kabisa, unataka uione cv ya mpendwa wetu ili iweje, haya makafiri pumba tupu, kalete cv ya mumeo tukusifie.
 
Wewe unachokoza visivyochokozwa. Napita tuu

Hakika mkuu,I declare interest kiwa me ni Islam ila kati ya taasisi znazoendeshwa kibabaishaji duniani basi BAKWATA ipo kwenye top 3,Yote hii ni kwa maslahi ya seeikali na viongozi wa BAKWATA wachumia tumbo,wanaosubiri makontena ya tende toka arabuni wagawane,kugombea sadaka na kuwa mjumbe wa kamati za fedha za misikiti na majengo yao!!!
 
Sheik Ponda Issa Ponda ndio anaifahamu C.V yake vya kutosha,tungempata Ponda ndio angetupa vizuri C.V ya Mufti maana wakati ule wa mgogoro wao walikuwa wanatusomea C.V zao ya Elimu Dunia na Ilimu Akhera.
 
Ninapenda kuungana na Waislam wote walioguswa na Msiba huu mzito.

Aidha, wakati tunaomboleza na kutafakari jinsi ya kumuenzi, ni vema mwenye CV yake atuletee hapa jukwaani.

Tunapoamua kumuenzi tujue tunamuenzi mtu wa hali ipi? Amesomaje? Ana level ipi ya ilim dunia.

asingefariki dunia leo ulikuwa na mpango wa kuiulizia lini labda? sifa kubwa ya mtanzania yoyote yule ni sanifu za kijinga na unafiki.
 
wewe ni kiazi kilichooza kabisa, unataka uione cv ya mpendwa wetu ili iweje, haya makafiri pumba tupu, kalete cv ya mumeo tukusifie.

Huna social tolerance wewe,------ kivipi? dini umeikuta utakufa na utaiacha,yanini kulumbana na nduguyo kwa kigezo cha dini? ukiristo/uislam ni mapokeo toka kwa waarabu na wazungu ndo yanakufanya umtukane ndugu yako kweli?
 
Unataka atangaze nia?unatafuta cv ya marehemu ili iweje?Mbona kama mgomvi ww!
 
Ninapenda kuungana na Waislam wote walioguswa na Msiba huu mzito.

Aidha, wakati tunaomboleza na kutafakari jinsi ya kumuenzi, ni vema mwenye CV yake atuletee hapa jukwaani.

Tunapoamua kumuenzi tujue tunamuenzi mtu wa hali ipi? Amesomaje? Ana level ipi ya ilim dunia.

kwa jinsi ulivyoandika tu, wewe lazima utakuwa ------
 
Back
Top Bottom