Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
waislamu na uislam wao bhana...yaan ni manung'uniko na fujo kila mahal, dunia nzima. huwez kuta hawa jamaa wameridhika. mara hawa wameteka msikikiti, mara wale hawamtaki shekhe mkuu, yaan ni shaghalabalha
Umesahau Vita ya Jimbo la Kanisa Arumeru ? Wameru walikunya Altareni na kuwapiga mawe Maaskofu wa Kichaga.
Mrema katika ubora wake akahamgaia nalo kidogo limtoe roho!
Kuwa na kumbukumbu Mgalatia moshdar
Watu wamekunya Altareni mbele ya Bwana Yesu. Wameru walimnajisi
Last edited by a moderator: