Habarini mabestito
Nimepokea taarifa ya mshtuko wa ghafla wa msiba ambao sijautegemea
muda si mrefu, nimeshindwa kustahimili wapendwa wangu naitaji maombi yenu.
Mwenzenu Nimeondokewa na Shangazi yangu anayeishi Morogoro hivyo
niko kwenye maandalizi ya kwenda huko. Bwana ametoa na ametwaa
Jina lake lihimidiwe.
Ladyf
Nashukuru Bestito kwa faraja yko tumeshazika na nimesharudi nimekwisha poapole sana ma dia...Mungu akupe nguvu katika wakati huu mgumu
Nashukuru bestito kwa faraja kweli jf ni zaidi ya nduguPole sana Lady Furahia, jipe moyo na Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
Nashukuru mpendwa nimejua kuwa jf hapa nina ndugu rafiki na wapendwa wangu asante kwa faraja yakoPole sana ladyfurahia,ni mipango ya Mungu,ni safari yetu wote,shangazi yetu ametutangulia!Mungu akupe faraja na familiya nzima kwa ujumla.Mungu aiweke roho ya shangazi yetu mahali pema peponi,Amina!
Nashukuru mpendwa wangu kwa faraja hii nimesharudi niko tena kibaruaniPole sana....
Mungu akupe moyo wa subra katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa...
Nashukuru bestito wa ukweli faraja yako hii nimesharudi ila hujanijibu ule mzigo hupo ama bado haujaingiapole sana mpendwa
Mungu akupe ustahamilifu,aibariki pia safari yako na pia akupe afya njema katika kipindi hiki kigumu..
Muumba wetu aipokee kwa rehema roho ya marehemu...Amina
pole sana Ladyfuraha
Nashukuru sana bestito kkwa faraja hii nimesharudi dar nawajibika sasa nimekumisije baba Ngina we acha tu?Pole sana ladyfurahia tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na shangazi yako
Asante binamu yangukwa faraja hii kwei jf ni zaidi ya ndugupole bi dada... yote ni mipango ya mungu!mungu awape nguvu...
Asante bestito nimekiwisha poa nimesharudi niko hewani tena asante kwa faraja yakoPole sana kwa msiba wa auntie yetu
Mbele yake nyuma yetu
asante rafiki kweli jf ni zaidi ya ndugu barikiwaPole sana my dada
nilirudijana na leo nimejaa tele besti nashkuru kwa faraja yakorip sha.gazi wa moro.
asante bestito wangu wa ukweli kwa faraja hii nimeamini kuwa sikuwa peke yangu niko na ndugu zangu hapa jfPole sana Mwenyezi Mungu akupe wepesi katika kipindi hiki kigumu
asante shem kwa faraja hi nimesharudi sasa kweli jf ni zaidi ya ndugu nimeona upendo wenu kwanguPole sana kwa msiba ladyfurahia. MUNGU ampumzishe kwa amani auntie!
Pole sana kwa msiba.
Shangazi apumzike kwa amani.
Asante rafiki yangu kwa faraja yako namwachia Mungu yeye nidiye aliyetoa naye ametwaa jina lake lihimidiweYote ni mapenzi ya mungu
Asante sana my cousin kwa faraja hii nawe Mungu akutokee na amponye ndugu yetu ubarikiwePole sana sis... Mungu akupe ujasiri!!
Pole sana ndugu,,,,,,Mungu amlaze mahali pema Auntie yetu
A
Nasi tuko nyuma,,,,,safari yetu sote ni moja
Asante sana rafiki kwa faraja yako ila wewe sio ndugu yetu jamani? Lady doctor njoo umwone ndugu mwingine sijui ni wetu au la hebu muullize baba bado hajaacha ule usanii wake?
asante rafiki kwa faraja yako kweli umekuwa rafiki bestPole sana,Mungu akupe nguvu.R.I.P shangazi.
Pole sana. Wape pole wafiwa wote.
Asante bestito kwa faraja hii nimeamini jf ni zaidi ya ndugu asante ubarikiwe
vile vile napenda niwashukuru sana hawa Jiwe Linaloishi, Young Master, nitonye, charminglady, Paloma, Passion Lady wamekuwa watu wakaribu yangu sana kwa faraja zao na sio kwamba nawabagua humu ndani bali wote mmekuwa karibu ila hawa walikuwa nami kila hatua na dakika kujua kila kitu kilichoendelea kwenye msiba huu wa shangazi yangu nimefurahi kuona kuwa jf ni zaidi ya ndugu tunajaliana tunapendana na kutakiana her kwa kila jambo
nasema marafiki zangu wote hapa MMBARIKIWE NAWAPENDA
Poleni wafiwa, Mungu awatie nguvu.
Pole mkuu
Mungu akutie nguvu.......
Pole sana na msiba wa shangazi. Mungu akufanyie wepesi
Mungu akupe nguvu katika kipind hiki kigumu
pole sana na msiba wa shangazi. Mungu akufanyie wepesi
poleni wafiwa, mungu awatie nguvu.
Asante rafikir kwa faraja yako
Asante nimekwisha rudi tumeshazika best
Pole sana mpendwa