Pole sana ladyfurahia,ni mipango ya Mungu,ni safari yetu wote,shangazi yetu ametutangulia!Mungu akupe faraja na familiya nzima kwa ujumla.Mungu aiweke roho ya shangazi yetu mahali pema peponi,Amina!
Pole sana. na shangazi apumzike kwa amani.
pole sana ma dia...Mungu akupe nguvu katika wakati huu mgumu
Pole sana Lady Furahia, jipe moyo na Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
Pole sana ladyfurahia,ni mipango ya Mungu,ni safari yetu wote,shangazi yetu ametutangulia!Mungu akupe faraja na familiya nzima kwa ujumla.Mungu aiweke roho ya shangazi yetu mahali pema peponi,Amina!
Pole sana....
Mungu akupe moyo wa subra katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa...
pole sana mpendwa
Habarini mabestito
Nimepokea taarifa ya mshtuko wa ghafla wa msiba ambao sijautegemea
muda si mrefu, nimeshindwa kustahimili wapendwa wangu naitaji maombi yenu.
Mwenzenu Nimeondokewa na Shangazi yangu anayeishi Morogoro hivyo
niko kwenye maandalizi ya kwenda huko. Bwana ametoa na ametwaa
Jina lake lihimidiwe.
Ladyf[/QUOTE
R.i.p aunt wa ladyfurahia