TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

Mmmmh.
Kuna kipindi nilikuwa napenda kuangalia cha 1000 ways to die.
My brother. nikiona hata tiles hazijakauka maji nakuwa makini sana.kifo kina sababu nyingi sana.
Inasikitisha na inauma sana.
Mkuu, hiki kipindi nilikibahatisha siku moja nilienda kumtembelea jamaa yangu... Dah, kweli kuna njia nyingi sana za kufa..

Kuna jamaa alikufa kwa sikitisha sana... Ametoka zake job, home mke wake akamtayarishia juice, kabla hajanywa, akapigiwa simu Na mchepuko wake, mchepuko anataka dushe, jamaa ikabidi apige vidonge viwili vya nguvu za kiume....

Kumbe mchepuko naye akamtayarishia juice, akaweka Na vidonge vingine viwili vya nguvu za kiume...

Kabla ya game, jamaa akakaribishwa juice.... Aiseee... Huyu jamaa alikufa, maana walionesha jinsi mishipa ya damu kwenye ubongo ilivyo pasuka...
 
Daa ndio maana mieleka wanasema usijaribu popote pale ,,baunsa nae angeangalia ka mwili jamani ona sasa,,hivi hajakamatwa?
Mu7 ameshatia mkono hapo na juzi aliwakoromea majaji kwa kutoa hukumu laini.. Huyu bila shaka atanyongwa kabla ya February hii kuisha!

Inauma kweli!
 
there will be a vigil today at his Neverland home in Makindye and the requiem service will be held tomorrow at a yet to be known church.

Moze Radio's body will be at National Theatre on Friday and on Saturday, the talented singer will be laid to rest at Kagga in Nakawuka where he was constructing a home for his mom.
 
Idd Amin alikataaga huu ujinga wa kutawaliwa na mtu mmoja. Lakini mlimwita dikteta ninyi haohao. Tuwaeleweje?
huyo Idd angekubali kutoka madarakani kirahisi....washukuru wanaume wa JWZ walienda kumtoa
 
Sasa huyo baunsa naye kwanni ambamize hivyo mtu si angemtimua tu nje ya club au hata amtandike makofi..... Pombe hizi laiti angekuwa kanisani au msikitini haya yasingemkuta ila maeneo ya kishetani lolote laweza kutokea

Mungu ailaze roho yake mahali panapostahili
Mbona hao wanaongea kama wamareka bana
 
Mose alikuwa na tatizo kubwa la ugomvi na uchokozi, ana makesi kibao kampala, last year kuna radio host anaitwa kasuku alimtabiria kifo baada ya mose kuvamia party na kutupa laptop ya dj kwenye swimming pool ,jamaa aliwaomba wasikilizaji warekodi kabisa, akasema...mose akiendelea na tabia yake hii kuna siku atapigwa kichwa kipasuke ana atakufa..sasas imetokea kweli...back to the issue ya entebe...
Mose alikuwa anatoka na washkaji zake kuangalia ujenzi wa nyumba yake entebe akamuu kupita hapo de bar kunywa,akamzengua meneja kwamba hana uwezo wa kumnunulia black bottle belaire..meneja akakasirika akamnunulia bottle moja jamaa akafungua kwa dharau akammwagia mteja aliyekuwa anajinywea zake,ndipo vurugu zilipoanza
Hiyo video ni yenyewe kweli??
 
Kwa hiyo siku wakifa Usingizini waache Kulala pia.......!?kujadili kifo ni ujinga kifo kina njia nyingi
What are you smoking!?!?
Umeelewa nilicho maanisha hapo au umekurupuka kunijibu!
Huyo artist kajitakia kifo mwenyewe na video inaonyesha yeye ndio alie mprovoke huyo mlinzi.
Jamaa alikua intoxicated badala ya kutulia akataka kujifanya mwamba watu wakamvunja shingo.
Sasa kama hukuelewa nilimaanisha kwa waliobaki hili tukio liwe kama elimu kwao...
Wafanye starehe, walewe wakimaliza wasianzishe ugomvi otherwise tutaishia kuzika wengi.
Inahuzunisha kapoteza maisha but kiuhalisia alikikaribisha kifo.
 
Hyo sjyooo video ya tukio la radio mkuu....culture tofautii kabisa hao ni americans,alafu radio alikuwa mrefu mwembamba,hako kajamaa kafupii....nahisi unaujua ugomvi wa kiafrika hapo kikenuka hatari watu mia kidogo
 
Back
Top Bottom