kama zote
Member
- Jan 23, 2018
- 40
- 42
Huyo david lutalo ni kiboko mkuu....kuna na mwingine anaitwa King saha ni hatar usipofatilia vizur utadhani ni RadioRadio na Weasal ni watu wawili tofauti,naona humu wengi tunachanganya...Radio alikuwa rafiki wa kiti cha kwanza wa Mdogo wake Joseph Mayanja ( Jose Chamilion) na walifanya kazi sana kwenye band ya Jose Chamilion baadae ndyo wakajitenga na kuanza kufanya muziki kivyao,hata hivyo bado Jose Chamilion alikuwa akiwatumia kwenye shows zake hasa za ndani ya Uganda
Binafsi pia nimekumbuka mbali sana enzi hizo nikiwa na Mshikaji wangu mmoja mweusi tiiiiiiiii! Kama kia2 cha jeshi halafu amepanda hewani,sasa mshikaji alikuwa akiniona anaanza kunitafsiria nyimbo za Kiganda kama vile Befula ya Chamilion na Bread n' butter ya Radio na Weasal
Pia,alikuwa akinitajia wasanii wengi wa Uganda kama vile Bebe cool,Michael Rose,Chamilion n.k.ndyo ktk kpnd hicho nilipoanza kuzpenda nyimbo za Waganda na hata beats zao huwa ziki tight sana,sikiliza nyimbo kama Ugwe wange wa Juliana Kanyomozi,Ujuwe wa David Lutalo, Margarita (jina la mwimbaji limenitoka)