TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

Radio na Weasal ni watu wawili tofauti,naona humu wengi tunachanganya...Radio alikuwa rafiki wa kiti cha kwanza wa Mdogo wake Joseph Mayanja ( Jose Chamilion) na walifanya kazi sana kwenye band ya Jose Chamilion baadae ndyo wakajitenga na kuanza kufanya muziki kivyao,hata hivyo bado Jose Chamilion alikuwa akiwatumia kwenye shows zake hasa za ndani ya Uganda

Binafsi pia nimekumbuka mbali sana enzi hizo nikiwa na Mshikaji wangu mmoja mweusi tiiiiiiiii! Kama kia2 cha jeshi halafu amepanda hewani,sasa mshikaji alikuwa akiniona anaanza kunitafsiria nyimbo za Kiganda kama vile Befula ya Chamilion na Bread n' butter ya Radio na Weasal
Pia,alikuwa akinitajia wasanii wengi wa Uganda kama vile Bebe cool,Michael Rose,Chamilion n.k.ndyo ktk kpnd hicho nilipoanza kuzpenda nyimbo za Waganda na hata beats zao huwa ziki tight sana,sikiliza nyimbo kama Ugwe wange wa Juliana Kanyomozi,Ujuwe wa David Lutalo, Margarita (jina la mwimbaji limenitoka)
Huyo david lutalo ni kiboko mkuu....kuna na mwingine anaitwa King saha ni hatar usipofatilia vizur utadhani ni Radio
 
Jamani naumia Sana kumpoteza huyo mwanamziki Radio jamani inauma mnoo

Kila nikiangalia track hii namkumbuka boy wangu jamani,


Huyu mwanamuziki alikuwa anajua Hasa sauti moja amazing,

Alale maala pema peponi amina,

Ntaomba uweke track yake unayoikubali
 
Duh kwani Kafa??

Ntunga ntunga owe muchalaa ntunga ntunga ,duh jamani mi naikubali track ya tuchikole Neraa



Uganda ni wasanii wanaofanya mziki Kwa ustaarabu si kama bongo matangazo kibao huku hawana lolote
 
Zuwena is his best!

Where you are aliyoshirikishwa na blue three ni one of my fovourite love songs of all time!

He was such a talented guy!

R.I.P
 
Kuna moja walifanya na Rabadaba(kama sijakosea jina) jamaa verse ya kwanza aliflow vizuri sana radio na mwezie walifanya hook,ilikuwa nzuri sana na bread and butter nayo ilikuwa poa sana.
Kipind cha nyuma EATV ilikuwa ni TV ya A.mashariki haswa huku kulikuwa na bush baby na Uganda Central,huku strictly kenyan lkn siku hizi hata hatujui ngoma Kali Ug wala ngoma gani Kali Nairobi
 
Kuna moja walifanya na Rabadaba(kama sijakosea jina) jamaa verse ya kwanza aliflow vizuri sana radio na mwezie walifanya hook,ilikuwa nzuri sana na bread and butter nayo ilikuwa poa sana.
Kipind cha nyuma EATV ilikuwa ni TV ya A.mashariki haswa huku kulikuwa na bush baby na Uganda Central,huku strictly kenyan lkn siku hizi hata hatujui ngoma Kali Ug wala ngoma gani Kali Nairobi
Ability and opportunity comes once in life time
 
Unaweza jiona mjanja kumbe mshamba,boya la maana. Siasa zenu za kumtakasa mtu anayeshabikia upinzan au anayeitukana serikali haziwasaidii katika safari ya milele.
Iyo id ni ya watu wangapi? umejibu kama unajibu comment za watu 1000 hv.
 
Halafu ile baa imefungwa.
64f1294fcf48cba198f9f783e3c59337.jpg
 
Back
Top Bottom