TANZIA: Mhandisi Mike wa ATCL afariki dunia

TANZIA: Mhandisi Mike wa ATCL afariki dunia

R.I.P MIKE GORDON MUSSA
 

Attachments

  • IMAG0006.jpg
    IMAG0006.jpg
    166.7 KB · Views: 55
  • IMAG0007.jpg
    IMAG0007.jpg
    281.3 KB · Views: 56
  • IMAG0005.jpg
    IMAG0005.jpg
    194.6 KB · Views: 66
Response yako inanipa nini ? Unataka kumdanganya nani hapa dunia hii mtu anaweza kuishi kama peponi ? Shetani mwenyewe alikosana na Mungu ,hivi husikii hata aibu kuongopea watu wazima kweupe hivi ?
Wewe hebu acha kukurupuka. Unaeleweshwa na watu wanaomfahamu unalete ujuaji usio hata na maana.
 
Karibu sana mkuu,binafsi nmempoteza nguli baba yake alikuwa Gordon ashawahi kuwa dc enzi za ukoloni na alimuoa mama wa kisukuma...
Mzee Gordon pia aliwahi kuwa principal pale magogoni enzi hizo
 
Ha ha ha ha ha Batista Fivawo!!Hawa ndio "vijana" wa ATC toka miaka ya 1970...hawa ni makomrade wangu hawa;umenikumbusha mbali sana ulipomtaja Batista,Wahandisi wa mwanzo kabisa wa ATC wakati wa Mwalimu.

Mwalimu hakuwa na hiyana;hawa aliwapeleka kusoma wakati ATC ina Boeing za maana.U remind me those old good days mkuu muhomakilo jr

Ndio huyu Batista anayefanya KLM?
 
Unaweza kugombana Na watu Na kusamehe ....mzee gordon akigombana Na mtu siku zote mshindi NI Yule aliyegombana nae yeye always anajiweka chini tuu
Hapa umeongea maneno yenye busara na mantiki mkuu ,sio hao wanaosema hajawahi kugombana na mtu ,ni mwanadamu gani anaishi bila kugombana na mtu ? Yesu mwenyewe alipofika kwenye nyumba ya kuabudia iliyogeuzwa soko alifanya nini ?

Hulka yetu sisi wanadamu ni unafiki hivyo sishangai sana kwa mawazo ya hao wadau hapo juu
 
Back
Top Bottom