TANZIA: Mhandisi Mike wa ATCL afariki dunia

TANZIA: Mhandisi Mike wa ATCL afariki dunia

Mhandisi wa siku nyingi wa ndege na muajiliwa wa ATCL ndugu Mike aka Musa amefariki dunia. Msiba upo kwake Kawe.

Poleni sana wafiwa.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
View attachment 446571
Mungu amlaze pema. Ingawa hatujaonana miaka mingi lakini wakati tunasoma yeye alikuwa kama kaka yetu. Na hata alipokuwa ATC alikuwa ni mchapakazi na mstaarabu sana. sijawahi kumuona wala kusikia akigombana na mtu katika kipindi chote cha uhai wake.
 
Super engn
Kapumzike Kamaradi Mike!!Nilizoea kukuita kwa utani "Mzungu Pori"....
Pumzika Rafiki,Mwalimu na Ndugu yangu....Pumzika Mike!!Nipo nyuma yako ninakuja...Nenda Mike Nenda
Ulitumia elimu yako kwa ajili ya Taifa lako,licha ya ujuzi wako na ubobezi,ulibaki kuwa mnyenyakevu na mtiifu hata kwa walio wadogo.

Umewafundisha wengi,wengi wamejua kazi katika mikono yako...Nenda Kamaradi nenda!!See u in the next world if ther is....Nitatakukumbuka Daima
has gone KAKA BARAFU

DAH

RIP MUSA... MZEE AMEZEEKA NAUJUZIWAKE JAMANII.. NA UCHESHI KWAKILA MTU

POLENI SEKTA YAANGA HILI N PIGO
 
Namkumbukaa
Mungu amlaze pema. Ingawa hatujaonana miaka mingi lakini wakati tunasoma yeye alikuwa kama kaka yetu. Na hata alipokuwa ATC alikuwa ni mchapakazi na mstaarabu sana. sijawahi kumuona wala kusikia akigombana na mtu katika kipindi chote cha uhai wake.
Namkumbukaa kabegichakemgongoni mpaka anastaafu yukonachoo ukifungua kamejaa spanaa za nguvu
 
hio ndo njia ya kila mmoja ya kwenda kueleza alioyafanya hapa duniani huko mbinguni , tuliobaki ubabe na kunyanyasa walio chini yako sijui utajibu nini siku yako ikifika

R.I.P
 
Mungu amlaze pema. Ingawa hatujaonana miaka mingi lakini wakati tunasoma yeye alikuwa kama kaka yetu. Na hata alipokuwa ATC alikuwa ni mchapakazi na mstaarabu sana. sijawahi kumuona wala kusikia akigombana na mtu katika kipindi chote cha uhai wake.
Kwenye hii dunia unaweza kuishi bila kugombana na mtu ?
 
Duu namkumbuka huyu mzee kibonge,Mara ya mwisho alikuwa pale Presicion air kipindi kile wana boeing,poleni wafiwa...R.I.P Aviators.
Upo sahihi,alikuwa kwenye Boeing....kuna snag moja ya Mtwara enzi Precision wanapeleka Boeing yao,ilikuwa 5H-PAZ...,Mzee aliipangua,hatari sana
 
Upo sahihi,alikuwa kwenye Boeing....kuna snag moja ya Mtwara enzi Precision wanapeleka Boeing yao,ilikuwa 5H-PAZ...,Mzee aliipangua,hatari sana
Yeah namfahamu Sana,Ni mahili hasa katika boeing,Kama wiki tulikuwa tunamzungumzia na Mzee Batista wa Klm,waliingia pamoja ATC miaka hiyo..
 
Back
Top Bottom