masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,643
- 14,641
Nga na mino , imyubha ndikulyamo!Fyobhene ujighanile iccm. Umubhukatale malafyale.
Nga na mino , imyubha ndikulyamo!Fyobhene ujighanile iccm. Umubhukatale malafyale.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Iccm malyafale ichadema
We we we!!thubutu!wapo washetani na kwake yeye watarejea!!Poleni sana wafiwa,ndugu,jamaa na marafiki...Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye tutarejea...
hatukuelewi fafanua pleaseWe we we!!thubutu!wapo washetani na kwake yeye watarejea!!
We we we!!thubutu!wapo washetani na kwake yeye watarejea!!
Pole sana mdau huu msiba umekugusa mno....rip Mike....ww jamaa ni rubani?Kapumzike Kamaradi Mike!!Nilizoea kukuita kwa utani "Mzungu Pori"....
Pumzika Rafiki,Mwalimu na Ndugu yangu....Pumzika Mike!!Nipo nyuma yako ninakuja...Nenda Mike Nenda
Ulitumia elimu yako kwa ajili ya Taifa lako,licha ya ujuzi wako na ubobezi,ulibaki kuwa mnyenyakevu na mtiifu hata kwa walio wadogo.
Umewafundisha wengi,wengi wamejua kazi katika mikono yako...Nenda Kamaradi nenda!!See u in the next world if ther is....Nitatakukumbuka Daima
Ungekuwa unamfahamu marehemu michael mussa ungenielewa.Kwenye hii dunia unaweza kuishi bila kugombana na mtu ?
Ndiye huyo huyo.Mike Musa Gordon vijana waliokulia Chang'ombe au siyo huyu?
David alikuwa ni mdogo wakeAlikuwa na kaka yake hapo marehemu David gordon hapo
Una uhakika gani simfahamu ? Kama mimi ni mmoja wa watu niliyegombana naye ?Ungekuwa unamfahamu marehemu michael mussa ungenielewa.
Ndiye huyo huyo.
Kama ulikuwa unamfahamu basi ni wazi utakuwa unanielewa nilikuwa ninamaanisha nini kwa kusema hivyoUna uhakika gani simfahamu ? Kama mimi ni mmoja wa watu niliyegombana naye ?
Ungeeleweka ungeulizwa swali ? Hakuna binadamu anayeishi dunia hii bila kugombana na watuKama ulikuwa unamfahamu basi ni wazi utakuwa unanielewa nilikuwa ninamaanisha nini kwa kusema hivyo
Inaelekea wewe unataka ligi kwa hiyo usitarajie response nyingine toka kwanguUngeeleweka ungeulizwa swali ? Hakuna binadamu anayeishi dunia hii bila kugombana na watu
Response yako inanipa nini ? Unataka kumdanganya nani hapa dunia hii mtu anaweza kuishi kama peponi ? Shetani mwenyewe alikosana na Mungu ,hivi husikii hata aibu kuongopea watu wazima kweupe hivi ?Inaelekea wewe unataka ligi kwa hiyo usitarajie response nyingine toka kwangu
Mkuu nasikia mazishi yameahirishwa hadi kesho jumatatu?Asante mkuu
David ni mdogo wake....David alikuwa ni mdogo wake
Mazishi ni leo SAa tisaMkuu nasikia mazishi yameahirishwa hadi kesho jumatatu?
Mpwaa nakushukuru sana kwa kuja kwenye msiba .....Leo saa tisa ndy mazikoIccm malyafale ichadema