tehetehe tehe hata uchwara ataondoka tuMizania sawia ya Mwenyezi Mungu hata uwe unatisha kama black mamba!
R.I.P Mike
Poleni ripKapumzike Kamaradi Mike!!Nilizoea kukuita kwa utani "Mzungu Pori"....
Pumzika Rafiki,Mwalimu na Ndugu yangu....Pumzika Mike!!Nipo nyuma yako ninakuja...Nenda Mike Nenda
Ulitumia elimu yako kwa ajili ya Taifa lako,licha ya ujuzi wako na ubobezi,ulibaki kuwa mnyenyakevu na mtiifu hata kwa walio wadogo.
Umewafundisha wengi,wengi wamejua kazi katika mikono yako...Nenda Kamaradi nenda!!See u in the next world if ther is....Nitatakukumbuka Daima
Mhandisi wa siku nyingi wa ndege na muajiliwa wa ATCL ndugu Mike aka Musa amefariki dunia. Msiba upo kwake Kawe.
Poleni sana wafiwa.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
View attachment 446571