Sasa ndo akili na kumbukumbu zinanijia..Wakina zoe,Andrew,sarah Dan wako ulayaa kitamboo sana
Sasa ndo akili na kumbukumbu zinanijia..
Ni muda mrefu sana sana.
Mama yao kina David Musa natumaini ni msukuma, wakati namkumbuka mzee Gordon alikuwa Mwingereza(mScot kana sikosei).
Msiba huu nitajitahidi kuhudhuria Jumapili.
Watu wengi hawaijui historia ya familia hii lakini ndio familia ilianzisha muziki wa vijana chipukizi miaka ya 60/70, zikiwemo Les Trippers baadaye Safari Trippers.
Sasa ndo akili na kumbukumbu zinanijia..
Ni muda mrefu sana sana.
Mama yao kina David Musa natumaini ni msukuma, wakati namkumbuka mzee Gordon alikuwa Mwingereza(mScot kana sikosei).
Msiba huu nitajitahidi kuhudhuria Jumapili.
Watu wengi hawaijui historia ya familia hii lakini ndio familia ilianzisha muziki wa vijana chipukizi miaka ya 60/70, zikiwemo Les Trippers baadaye Safari Trippers.
DaMmHg Nko msibani sahv....mike by mjomba wangu...hiyo picha uliyoweka ni siku ya harusi yangu hyo mama nweupe ni mama yangu mdogo.....sababu ya kujiita Mrangi ni lea sababu nmexhanganya ndg rangi...
Nko mnalakuwa sahv mpwaaa
Ova
Njoo azura home pale,Bado tunafanya taratibu za mazishi..Da
mpwantakucheki baaae unipe updates zakamanda wangu
RIP ENGN MIKE
Poor Souls, Mungu awaweke mahali pema peponi.Uncle David naye alifariki mwaka Jana alikuwa accountant na mwanzilishi wa safari troupers,
Mhandisi wa siku nyingi wa ndege na muajiliwa wa ATCL ndugu Mike aka Musa amefariki dunia. Msiba upo kwake Kawe.
Poleni sana wafiwa.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
View attachment 446571
Yeye mkuu,yupo na KLM direct Maintenance sasa.Una maana Batista Mwafivawo?
Alikuwa Mhandisi ATC.
Poleni Sana mkuu,namfaham huyu mzee Sana...MmHg Nko msibani sahv....mike by mjomba wangu...hiyo picha uliyoweka ni siku ya harusi yangu hyo mama nweupe ni mama yangu mdogo.....sababu ya kujiita Mrangi ni lea sababu nmexhanganya ndg rangi...
Nko mnalakuwa sahv mpwaaa
Ova
Ha ha ha ha ha Batista Fivawo!!Hawa ndio "vijana" wa ATC toka miaka ya 1970...hawa ni makomrade wangu hawa;umenikumbusha mbali sana ulipomtaja Batista,Wahandisi wa mwanzo kabisa wa ATC wakati wa Mwalimu.Yeah namfahamu Sana,Ni mahili hasa katika boeing,Kama wiki tulikuwa tunamzungumzia na Mzee Batista wa Klm,waliingia pamoja ATC miaka hiyo..