TANZIA Mkuu wa Chuo cha Ualimu Mpwapwa afariki ajalini

TANZIA Mkuu wa Chuo cha Ualimu Mpwapwa afariki ajalini

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,840
Reaction score
3,909
Mkuu wa Chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndugu Richard Gerald Melkiori amefariki kwa ajali mbaya ya gari wilayani CHAMWINO.

Bwana alitoka, Bwana ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe.


IMG-20250411-WA0006.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250411-WA0007.jpg
    IMG-20250411-WA0007.jpg
    101.3 KB · Views: 32
Mkuu wa Chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndugu Gerald amefariki kwa ajali mbaya ya gari wilayani CHAMWINO. Bwana alitoka, Bwana ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe.
Toa taarifa kamili kama vile nawe ni msomi au una ukaribu na huyo msomi?
  1. alitoka wapi kwenda wapi
  2. Chanzo cha ajali ni nini
  3. Amegonga? Amegongwa? Amegongana? Gari limepinduka?
  4. Alikuwa anaendesha? Anaendeshwa?
  5. Alikuwa na gari la ofisi au binafsi?
  6. Muda wa ajali?
  7. Msiba uko wapi
  8. Mazishi wapi
 
Toa taarifa kamili kama vile nawe ni msomi au una ukaribu na huyo msomi?
  1. alitoka wapi kwenda wapi
  2. Chanzo cha ajali ni nini
  3. Amegonga? Amegongwa? Amegongana? Gari limepinduka?
  4. Alikuwa anaendesha? Anaendeshwa?
  5. Alikuwa na gari la ofisi au binafsi?
  6. Muda wa ajali?
  7. Msiba uko wapi
  8. Mazishi wapi
Crap
 
Back
Top Bottom