Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,642
- 4,479
Nilisikia ugonjwa wake ila ni siri siyo vizuri kueleza ugonjwa wa marehemu
Nilisikia ugonjwa wake ila ni siri siyo vizuri kueleza ugonjwa wa marehemu
Ha ha ha haa,hapana mdau,cheo chake cha mwisho ni UBUNGE VITU MAALUM kupitia CDMKwa kuwa aliisha jiondoa CHADEMA tangu july 2015, hivyo kutumia neno aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA sio mahala pake ni vema mkaandika aliyekuwa mwanachama wa CCM na msiihusishe CHADEMA kwani hadi mauti yanamkuta huyu alikuwa CCM.
Umeongea point kuna watu humu bila kuitaja chadema hawalaliKwa kuwa aliisha jiondoa CHADEMA tangu july 2015, hivyo kutumia neno aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA sio mahala pake ni vema mkaandika aliyekuwa mwanachama wa CCM na msiihusishe CHADEMA kwani hadi mauti yanamkuta huyu alikuwa CCM.
RIP Leticia. Mungu amekuchukua ukiwa umerejea katika njia ya kweli
ukiangalia ile video wakati anajitangaza kuondoka chadema inaonyesha kabisa alilkuwa mgonjwa,Mungu amlaze mahali pema peponi aminaNilisikia ugonjwa wake ila ni siri siyo vizuri kueleza ugonjwa wa marehemu