TANZIA: Leticia Nyerere afariki dunia

TANZIA: Leticia Nyerere afariki dunia

RIP Leticia. Mungu amekuchukua ukiwa umerejea katika njia ya kweli

Anayefahamu atakapowekwa ni aliyemwuumba peke yake, wewe ishia tu ku type RIP na huruhusiwi kucomment kama alikuwa njia sahihi au laa!!!!!!
 
Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali inapostahili kutokana na matendo yake hapa duniani .
 
Alikua ana ugua uginjwa gani!?
R.I.P Leticia Nyerere.
 
Kwa kuwa aliisha jiondoa CHADEMA tangu july 2015, hivyo kutumia neno aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA sio mahala pake ni vema mkaandika aliyekuwa mwanachama wa CCM na msiihusishe CHADEMA kwani hadi mauti yanamkuta huyu alikuwa CCM.
Nadhani nyota yake ilingaa sana wakati akiwa chadema kuliko huko ccm ndio maana jamaaa akaandika ALIYEKUWA MBUNGE CHADEMA.
 
Apumzike k
Kwa kuwa aliisha jiondoa CHADEMA tangu july 2015, hivyo kutumia neno aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA sio mahala pake ni vema mkaandika aliyekuwa mwanachama wa CCM na msiihusishe CHADEMA kwani hadi mauti yanamkuta huyu alikuwa CCM.
Apumzike kwa amani

Lakini huyu alikuwa kigeugeu alikuwa mguu mmoja cdm mwingine ccm
 
Katika masuala ya msiba watu huwa hawaongei kwa utani, yapo mambo ambayo masihara ni sehemu yake. Siku nyingine usitumie lugha ya kejeli wakati mjadala unahusu uhai wa mtu.
Uhai wa mtu tena...sema mwili wa aliyekuwa hai
correction
 
Back
Top Bottom