TANZIA: Leticia Nyerere afariki dunia

TANZIA: Leticia Nyerere afariki dunia

Uncle kausha tupo msibani aise......watu tumenuna wewe unaleta masikhara
Dah ngoja nikaushe ila kuna jamaa kama nakumbuka alileta mada hapa jamii forum anatumia lost.id kutuaminisha maza ashavuta kumbe ulikua uongo
 
Dah huyu mama kila siku anatangazwa kafa vipi ukiitwa nyerere lazima kifo chako kiwe cha utata tu ??
Dah huyu mama kila siku anatangazwa kafa vipi ukiitwa nyerere lazima kifo chako kiwe cha utata tu ??
Jf ni kiboko ! Hapa ukitangazwa umekufa na hasa kama umelazwa mahali ujue umekwisha , alianza kombani watu wakabisha , akaja kigoda watu wakabisha baadaye huyu mama naye ikakanushwa , lakini hatimaye mmeona wenyewe , Shikamoo Jf .
 
View attachment 316118
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Leticia Nyerere amefariki dunia katika hospitali ya Doctors Community iliyopo Lan ham, Maryland jana saa mbili usiku kwa saa za Afrika Mashariki..

Msiba upo DMV 9004 Brightlea Court, Lanham, MD 20706.

Leticia aliolewa kisha kutengana na mtoto wa Hayati Baba wa Taifa, Madaraka Nyerere mwaka 1996, ambapo walifanikiwa kupata watoto watatu.

Leticia alikuwa mtoto wa Mzee Musobi Mageni.

Julai 27 2015, Leticia alitangaza kuihama CHADEMA na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi,
Amina.
rest in peace
 
Mpokee kwa amani sote ndo njia yetu ila nimesikitishwa sana mkuu
 
View attachment 316118
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Leticia Nyerere amefariki dunia katika hospitali ya Doctors Community iliyopo Lan ham, Maryland jana saa mbili usiku kwa saa za Afrika Mashariki..

Msiba upo DMV 9004 Brightlea Court, Lanham, MD 20706.

Leticia aliolewa kisha kutengana na mtoto wa Hayati Baba wa Taifa, Madaraka Nyerere mwaka 1996, ambapo walifanikiwa kupata watoto watatu.

Leticia alikuwa mtoto wa Mzee Musobi Mageni.

Julai 27 2015, Leticia alitangaza kuihama CHADEMA na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi,
Amina.


RIP Leticia,
Poleni ndugu na wote walioguswa na msiba huu.
 
Kwa kuwa aliisha jiondoa CHADEMA tangu july 2015, hivyo kutumia neno aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA sio mahala pake ni vema mkaandika aliyekuwa mwanachama wa CCM na msiihusishe CHADEMA kwani hadi mauti yanamkuta huyu alikuwa CCM.
Unajua wangesema aliekuwa mwanachama wa CCM wala watu wengi tusingejua maana wapo wanachama wengi wa CCM, ila kwa kusema aliekuwa mbunge wa CDM inasaidia haraka kiutambulisho ama unafikiri CHADEMA wao hawawezi kufiwa?
 
RIP Leticia. Mungu amekuchukua ukiwa umerejea katika njia ya kweli

DaaaaaaaaaaaaaaaaHHHHHHHHHHHHHHH!!!!!!!!!!!

Yaani CCM mnafanya siasa hadi katika misiba. HIyo njia ya ukweli ni ipi!!!!!!!!!! SHAME ON YOU!!!!!

RIP Leticia.
 
Back
Top Bottom