wilchuma
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,102
- 333
Viroba vya kumwaga vitakuwepo.Karibuni sana
yaan we ni mtu mpuuzi kuliko wote hapa JF,Unaleta masikhara kwenye jambo la huzuni.
Viroba vya kumwaga vitakuwepo.Karibuni sana
pole sana kamanda RIP MAMA YETUMzee anza sentesi zako kwa umakini. Kichwa cha habari na mwanzo wa sentensi vimenitisha. Imekuwa kama magazeti ya udaku!!
Pole sana Kamanda Godbless Lema kwa Msiba wa mzaa chema. Mungu akupe nguvu katika wakati huu mgumu wa kuomboleza kifo cha mama mkwe wako.
Viroba vya kumwaga vitakuwepo.Karibuni sana
yaan we ni mtu mpuuzi kuliko wote hapa JF,Unaleta masikhara kwenye jambo la huzuni.
Asante MSALANI kwa kuonyesha moyo wa huruma. Kutoa ni moyo sio utajiri. Ona wewe pamoja na mapato yako kuwa madogo yaani Buk7 per day lakini uko radhi kuchangia msiba kwa moyo mweupe. Au mkuu nawe umepata mgao ule wa Pinda tuliosikia kuwa amegeuka ATM ya chama kuu.
Viroba vya kumwaga vitakuwepo.Karibuni sana
Asante MSALANI kwa kuonyesha moyo wa huruma. Kutoa ni moyo sio utajiri. Ona wewe pamoja na mapato yako kuwa madogo yaani Buk7 per day lakini uko radhi kuchangia msiba kwa moyo mweupe. Au mkuu nawe umepata mgao ule wa Pinda tuliosikia kuwa amegeuka ATM ya chama kuu.
Viroba vya kumwaga vitakuwepo.Karibuni sana
Mh, Mbunge Wa jiji LA Arusha kamanda Godbless j lema usiku Wa kuamkia leo tarehe 22/10/2014, mama mkwe Wake aliaga dunia, msiba utafanyikia Njiro nyumbani Kwa Mh. G Lema name mazishi ni Jumamosi. Makamanda twendeni Kwa wingi tukamtie joto, hakika sisi sote nimalejea.
Poleni lakini Kimila msiba wa mkwe huwa unafanyika kwa wakwe wenyewe.Hii ya kufanyika kwa Lema sijaelewa ina maana michango tumpelekee Lema au tupeleke upande wa wakwe? Naogopa hela za rambi rambi zisije ishia mikono isiyo salama.