TANZIA: Kamanda wa polisi wa zamani Kilimanjaro, Dr. Mohammed Chico afariki dunia

Imetokea asubuhi hii, Mazishi yatafanyika leo saa kumi jion katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.

========
Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed Chico amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salam.

Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Awadhi Chico, mazishi yake yamepangwa kufanyika leo Jumapili 22/01/2017 jioni katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kijitonyama.

RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun
Poleni sana.
 
Imetokea asubuhi hii, Mazishi yatafanyika leo saa kumi jion katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.

========
Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed Chico amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salam.

Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Awadhi Chico, mazishi yake yamepangwa kufanyika leo Jumapili 22/01/2017 jioni katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kijitonyama.

RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun
Pole sana Awadhi Chico Mtoto wa Marehemu.
 
RIP...Polen sana ila ungefafanua zaidi mkuu kamanda Chico alikuwa nani sio wote tunamfaham..
Aliwahi kuwa RPC mkoa wa Kilimanjaro kwa muda mrefu, alikuwa swaiba IJP Mstaafu NGUNGURI, akiwahi kuwa OCD Tabora, OC-CID Mwanza, nk alikuwa akimiliki kampuni moja ya mabasi,nk
 
Imetokea asubuhi hii, Mazishi yatafanyika leo saa kumi jion katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.

========
Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed Chico amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salam.

Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Awadhi Chico, mazishi yake yamepangwa kufanyika leo Jumapili 22/01/2017 jioni katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kijitonyama.

RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun

Mungu ampumzishe kwa Amani, nilikutana naye miaka mingi nyuma akiwa RPC Ruvuma. Mungu aifariji familia yake wakati huu wa majonzi na mshtuko.
 
Huyo kamanda atakumbukwa kwa lipi hasa?

Poleni wafiwa wote.
Huyu atakumbukwa Kwa ujambazi kuongezeka wakati wake ktk kanda ile ya kaskazini, na inasemekana alipofika Arusha na Kilimanjaro alikuwa hana kitu lakini mpaka anahamishwa alikuwa mtu tajiri. Aliwahi kuwa mbeya pia.
 
Back
Top Bottom