Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 50
Imetokea asubuhi hii, Mazishi yatafanyika leo saa kumi jion katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
========
Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed Chico amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salam.
Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Awadhi Chico, mazishi yake yamepangwa kufanyika leo Jumapili 22/01/2017 jioni katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kijitonyama.
RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun
========
Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Awadhi Chico, mazishi yake yamepangwa kufanyika leo Jumapili 22/01/2017 jioni katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kijitonyama.
RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun