Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
R.I.P kamanda
Tulia wewe ,umeshatoa taarifa zako ,mimi nimeomba ufafanuzi kwa Faiza nina maana yanguKwani faiza alimshikia miguu au alikuwepo!? wewe ni aje
soma kwanza vizur kabla hujakurupuka kujibuRIP...Polen sana ila ungefafanua zaidi mkuu kamanda Chico alikuwa nani sio wote tunamfaham..
Ufafanuliwe nini au wewe kilaza umeambiwa alikuwa Kamanda wa polisi mkoa wa KilimanjaroRIP...Polen sana ila ungefafanua zaidi mkuu kamanda Chico alikuwa nani sio wote tunamfaham..
Sasa yeye si ndiye bingwa wa kuleta picha za mafirauni ndio maana nikaomba ufafanuzi wake anaweza akawa na picha mbili tatu za jamaa akiwa kwenye harakati zake za sodomaSitulii maana umenidukua.......
Na najua pia unamchokoza faiza
huoni nawewe utateswa kwa kugegeda watoto wa watu au unaangalia kwa wenzako tu kila mtu atabeba mzigo wakeSawa, alkini tutahukumiwa kwa matendo yetu ndivyo tunavyoambiwa na vitabu vitukufu, tena quran ni kali zaidid kuhusu malipiziz
Hahaha nimekunywa Sana na najua huwa anasema mapadre ni wafiraji na walawiti... Ila nampuuzia kutokana na ukweli halisi unafahamikaSasa yeye si ndiye bingwa wa kuleta picha za mafirauni ndio maana nikaomba ufafanuzi wake anaweza akawa na picha mbili tatu za jamaa akiwa kwenye harakati zake za sodoma
HahahaHuyu mtu kama hakuwa amefanya toba na aliendelea na maisha kama hayo ni bora alivyo tangulia mbele za haki, kwani hakuwa mtu mzuri kuwepo mitaani.
Mtu unakuta ni jambazi ila watu huwa hawapendi asemwe tuseme mtu km Alex anamadhambi kibao lakini akifa unasikia tumepoteza mfanya biashara mkubwa mahiriKumpenda mtu Kwasababu kafikwa na umauti ni unafiki, kama ni adui akiwa hai kamwe hawezi kuwa rafiki akiwa keshakufa hivyo kila mtu anacomment kulingana na hisia za moyo wake
Amepumzika na wake na waumehahaaaa umenikumbusha mbali sana akiwa same alikuwa anapenda kwenda kwenye duka lala mama mmoja pale station chini ya lile bomba la railway....inasemekana alikuwa anapumzika.
HayaKamanda alijijenga sana kaiacha familia yake pazuri,,, pale kijitonyama anapoishi anahekalu, magari ya kila aina tena yote yana chata ndogo yenye maandishi Georgia gofl... R. I. P kamanda
Hivi Chonjo hiakua kwa Arusha tu? Kuna wale kina Lekule piaBila kusahau chonjo familys
Aiseeee hahaaahaaaaaaMwaka gani iyo old moshi? Boyfriend wangu alisoma hapo
ChugaHivi Chonjo hiakua kwa Arusha tu? Kuna wale kina Lekule pia