TANZIA: Kamanda James Kombe afariki dunia

TANZIA: Kamanda James Kombe afariki dunia

niliposoma tu huu uzi wa Kifo cha Kombe, hii ndio picha iliyoniingia akilini. Kamanda miezi michache kabla ya kustaffu kwake. Just died at early Sixties!
Adha ya kustaafu mkuu. Alijaribu ubunge ccm akapigwa chini.
 
watanzania wengi bado akili zetu ni kama za mende sasa mtu katangulia mbele ya haki badala ya kumtakia heri mnaanza majungu.mjinga mmoja anasema eti bora angekufa kova ------- ww mungu akusamehe bure unaweza kuanza ww sasa hv
 
R.I.P KAMANDA. .......................Jf sasa inapoteza ladha. Pamekuwa pa kuombeana na kutiana laana. .....
 
Rest in Peace mzee!! daaahh! kifo bwana, kweli kila nafsi itaonja mauti,
halafu alikuwa na mpango wa kugombea ubunge 2015.
 
maskin weee! siku za Udika Mremi (Dar Express) zinahesabika sasa

Unapotoa post tafakari usikurupuke tu,hadhi yamabasi ya Dar ex niyakubebwa kweli?Au unamaanisha ilikuwa nikapuni ya Kamanda Kombe!Naweka wazi kuwa mmiliki wa Dar ex na Kombe nindugu na Mmiliki huyu hakutegemea kabisa nafasi ya Kombe ili kuendesha Kampuni yake hili nakuhakikishia mimi.
 
Umpe salaam Rafiki yangu Mwangosi, umwambie wenzie akina Mwema wako nyuma yako.
 
Alikuwa anaingia field kabisa........hapa ni pale junction ya Kenyatta.....hu ho haaa (kung-fu)

images
Mabasi yote yenye Chasis za malori aliyapiga marufuku kubeba abiria, naona hapo ndipo Mabasi ya Marcopolo (Scania) toka Brazil yalipopata soko Nchini
Aligombea Ubunge wa Vunjo ya Lyatonga kupitia CCM akawa nyuma ya Meela (sasa Mkuu wa Wilaya huko Mkoani Mbeya)
Alikoswakoswa risasi huko Tarime baada ya kutoka Dodoma, na hapo akasema haya makabila ya Mkoa huu hawatishii hivyo naye akaanza kuwatwanga,
Du Huyu Mzee nitamkumbuka kwa mengi ila sina uhakika km ameshanunua hata Vitz au Volkswagen licha ya kuwa Kamanda Mkuu wa Usalama barabarani mpaka hii leo
Atazikwa Mwika- Kilimanjaro RIP Kamanda Kombe
 
Unapotoa post tafakari usikurupuke tu,hadhi yamabasi ya Dar ex niyakubebwa kweli?Au unamaanisha ilikuwa nikapuni ya Kamanda Kombe!Naweka wazi kuwa mmiliki wa Dar ex na Kombe nindugu na Mmiliki huyu hakutegemea kabisa nafasi ya Kombe ili kuendesha Kampuni yake hili nakuhakikishia mimi.
Hapo jamaa yangu umesema kweli kabisa, Mremi wa Dar Express kaamza zamani sana hata kamanda hajafikia OCD Dodoma, labda angeshamzogezea hata kausafiri binafsi. Bado sijamuona huyu kamanda na usafiri binafsi,
Ila picha ya kupigwa marufuku kwa Chasis za malori huenda kulichochewa na huu undugu kwani magari mengi makubwa ya Scania 111 yalipotea, na sababu halisi haikutolewa na mfano mzuri ni leo mabasi marefu Zambia yanatumika ila kwetu yawe mafupi na Chasisi ya basi (Mfano Marcopolo)
Hii kitu iliwaumiza sana km kina Shukrani, Champion nk, waliolia na hawakusikilizwa
 
Kamanda Kombe namkumbuka kwa tukio la uchaguzi mkuu wa 2020. Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha alikuwa anasuasua kumtangaza mshindi wa Ubunge wa Arusha Mjini kati ya Baltida Buriani na Godbless Lema wakati wananchi wameshajua mshindi na wako Ofisi ya Manispaa tangu mapema asubuhi baada ya uchaguzi. Nakumbuka wananchi walikuwa wakiimba nyimbo za kushinikiza mshindi atangazwe, FFU, 'washawasha' na Polisi wakiwa wametanda eneo hilo.

Kamanda Kombe alipoona Mkurugenzi anajizungusha kutangaza matokeo, alimwambia Mkurugenzi kuwa ifikapo saa kumi atawaondoa Maaskari wake waliokuwa wanalinda amani, ndipo Mkurugenzi akasalimu amri na kumtangaza Godbless Lema kuwa mshindi.
 
Kamanda Kombe namkumbuka kwa tukio la uchaguzi mkuu wa 2020. Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha alikuwa anasuasua kumtangaza mshindi wa Ubunge wa Arusha Mjini kati ya Baltida Buriani na Godbless Lema wakati wananchi wameshajua mshindi na wako Ofisi ya Manispaa tangu mapema asubuhi baada ya uchaguzi. Nakumbuka wananchi walikuwa wakiimba nyimbo za kushinikiza mshindi atangazwe, FFU, 'washawasha' na Polisi wakiwa wametanda eneo hilo.

Kamanda Kombe alipoona Mkurugenzi anajizungusha kutangaza matokeo, alimwambia Mkurugenzi kuwa ifikapo saa kumi atawaondoa Maaskari wake waliokuwa wanalinda amani, ndipo Mkurugenzi akasalimu amri na kumtangaza Godbless Lema kuwa mshindi.

umekosea kidogo mkuu, aliyekuwa RPC wakati ule alikuwa ni Basilio Matei.
 
Back
Top Bottom