Hawa ni watu ambao walikuwa wanafia South Africa au India ama Ulaya lakini hii Corona inasababisha balaa mtu anajisikia vibaya hawezi kwenda kwa wataalamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Madagascar walishawahi kupata Rais aliyewahi kuwa DJ, Liberia wanaongozwa na nguli wa soka! Kuwa DJ hakuna shida yoyote ndugu! Narudia tena kichwa ya Mbowe ni mara elfu kumi kuliko ya Jiwe!Usimfananishe raisi na DJ makengeza tafadhali
Askofu anapaswa kuwa " mume" wa mke mmoja.Hivi alikuwa Askofu (Barua ya Ikulu) au Mchungaji (barua ya bunge)? Au hivyo vyeo viwili havina tofauti?
Naweka kumbukumbu sawa Mikocheni Assemblies of God aka Mlima wa Moto haikuwa chini ya Tanzania Assemblies of God.Tanzania Assemblies of God sio kanisa la kata, ni kanisa kubwa sio tu Tanzania bali ulimwengu mzima, kanisa hili lina misingi kamili na imara lakini huyu mtumishi alichepuka na kulifanya lake kuwa ministry baada ya kujijenga. Huwenda likarudishwa kwa kanisa mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu. Unapotosha watu, huyu mama alikuwa mchungaji wa Tanzania Assemblies of God kabla hajajiondoa na kuandika Mikocheni B Assemblies of God. Baada ya kuwa na kanisa kubwa na miradi ya kanisa, alijiondoa kwasababu kwa mujibu wa TAG unatakiwa kukabidhi hati ya ya jengo la kanisa pamoja na miradi makao makuu ili iwe mali ya TAG.Naweka kumbukumbu sawa Mikocheni Assemblies of God aka Mlima wa Moto haikuwa chini ya Tanzania Assemblies of God.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
thats it, Mungu hapangiwi, mind you ukiwa CCM umeshiriki vikao vya uuaji, ALPHONCE MAWAZO, AZORY, KANGOYE, MDUDE, LISSU, SAA NANE ,aah hiyo Damu hata ukimbilie wapi kujificha Mungu ataleta upepo wa Corona ukuondoe tu, Mungu ameshindwa kuvumilia , kikombe kimejaa,
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.....kuna haja ganinya kufukua makaburi! Tuwasindikize waliotangulia tukumbuke pia na sisi tu njia moja.thats it, Mungu hapangiwi, mind you ukiwa CCM umeshiriki vikao vya uuaji, ALPHONCE MAWAZO, AZORY, KANGOYE, MDUDE, LISSU, SAA NANE ,aah hiyo Damu hata ukimbilie wapi kujificha Mungu ataleta upepo wa Corona ukuondoe tu, Mungu ameshindwa kuvumilia , kikombe kimejaa,
Ndugu epuka kuongozwa na hisia,tafuta hiyo thread hapa JF kisha based kwenye ile video yemye Sec 16,angalia ni wapi kuna mbunge aliomba Zitto auawe,ukiweza tafuta post yangu nilielezea vizuri,mwishoni kila aliyeongea alitoa maoni yake nini kifanyike hakuna aliyesema Zitto auawe.Wewe umesema uongo na huna tofauti na aliyeiba au aliyeua kwa sababu aliyesema usiibe ndiye aliyesema usiseme uongo.Kwa binadamu yakikushinda usimeze pini, call a spade a spade. Hata Moi alipokufa Koigi Wamwere uzalendo ulimshinda akasema hawezi kamwe kumsamee Moi kwa unyama aliyomfanyia, akasema tutasameana huko mbinguni lkn sio hapa duniani.
Kuna watu wanawafanyia wenzao unyama mbaya sana wakifikiri wenyewe wana Death Proof lkn wapi.
Huyu mama majuzi tu alimuombea Zitto anyongwe kwa kuiomba WB wasiipe Tanzania mkopo wa elimu kufuatia sera mbovu ya Magufuli ya kupinga wanafunzi wajaa wazito kuendelea na masomo.
Mungu atajua wapi pa kumuweka kulingana na mapenzi yake. Amin.
Ndugu sasa hapo tusaidie kuweka sawa,umesema alikuwa TAG baadaye akajiondoa,na huyo jamaa uliyemjibu yeye anasema Mlima wa Moto haikuwa chini ya TAG mpaka wkati huu na siyo haijawahi kuwa chini ya TAG,mimi naona yeye yuko sahihi na wewe umeprove kwa sababu umesema mama alijiondoa TAG.Sasa hapo yeye anapotoshaje watu?Au nikuulize hilo kanisa liko chini ya TAG?Mimi binafsi nakubaliana na huyo uliyemjibu Vyamavingi ingawa nilitamani nifike kwenye hilo kanisa nijue je ni sehemu ya TAG au lile neno Mikocheni B Assemblies of God linawachanganya watu.Pole sana mkuu. Unapotosha watu, huyu mama alikuwa mchungaji wa Tanzania Assemblies of God kabla hajajiondoa na kuandika Mikocheni B Assemblies of God. Baada ya kuwa na kanisa kubwa na miradi ya kanisa, alijiondoa kwasababu kwa mujibu wa TAG unatakiwa kukabidhi hati ya ya jengo la kanisa pamoja na miradi makao makuu ili iwe mali ya TAG.
Sijui, kawaida inatolewa na Ofisi ya BungeHivi kuna anayejua ratiba ya mazishi ya mama Rwakatare?