Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Mtulia hajatangazwa popote, labda Makonda atutangazie kama alivyomtangaza mtoto wa Mbowe.Pia ampe pole Mtulia huko alipo kwenye oxygen aiswe mnafiki
Sure mkuu..unawsza jumuishwa kuwa ni coronaMkuu kafa Msimu mbaya.Huu msmu unaweza kimasikini kuliko maskini mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe Hekima zimemjaa sana pamoja na uhuni wote wa ccm ila uwa hatukani wala kukashifu watu
Mbowe Hekima zimemjaa sana pamoja na uhuni wote wa ccm ila uwa hatukani wala kukashifu watu
Acha upuzi mwendazimu tuu kama wewe ndio anaweza zihaki mm sioo ulipo pengine jioni hii ni zamu yangu lete taaeifa
Taarifa ua kifo sikwenda nyumbani kwake nilitegemea vyombo vilivyonipasha hiyo taarifa viendeele kufanya hivyo lkn mpaka sasa sijasikiaNenda kanisani kwake au Nyumbani kwake,utapata Ratiba.
Acha upuzi mwendazimu tuu kama wewe ndio anaweza zihaki mm sioo ulipo pengine jioni hii ni zamu yangu lete taaeifa
Sent using Jamii Forums mobile app
That means AtafukiwaNa Coroma hii mikusanyiko hairuhusiwi, atazikwa kimya kimya tu
Alafu siyo kila uzi lazima uchangie,kuna uzi nyingine unatakiwa kuusoma kwa makini ili upate muda wa kujifunza na kuwaelewa zaidi wana JF.ndiyo maana wenziyo huwa tunamaliza hata wiki nzima bila kuchangia chochote ,ili upate muda wa kuisoma michango ya wenzio na kujifunza zaidi jinsi ya kuishi humu JF.