Kama kweli apumzike alipojichagualia na namuomba ALLAH amfanyie wepesi kwenye maisha yake mapya nje ya uso wa dunia, wale wanawake wa upepo wa kisulisuli sikubahatika kupata hata mmoja.
Nini ambacho huelewi wewe? Wapi nimesema ALLAH ni Mungu wa huyo marehemu? ALLAH ni Mungu wangu mimi ndio maana namuomba ninayemuamini amfanyie wepesi huyo bibi
Madagascar walishawahi kupata Rais aliyewahi kuwa DJ, Liberia wanaongozwa na nguli wa soka! Kuwa DJ hakuna shida yoyote ndugu! Narudia tena kichwa ya Mbowe ni mara elfu kumi kuliko ya Jiwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungelijua ukweli usingepoteza muda wako kuombea mwili uliorudi mavumbini, lakini pia unapaswa ujue kuwa Mungu wa bibi yetu hapatani na huyo Allah inalijua hilo?Nini ambacho huelewi wewe? Wapi nimesema ALLAH ni Mungu wa huyo marehemu? ALLAH ni Mungu wangu mimi ndio maana namuomba ninayemuamini amfanyie wepesi huyo bibi
Samahani, naomNini ambacho huelewi wewe? Wapi nimesema ALLAH ni Mungu wa huyo marehemu? ALLAH ni Mungu wangu mimi ndio maana namuomba ninayemuamini amfanyie wepesi huyo bibi
Samahani, Naomba kufafanuliwa/kueleweshwa.Allah ndio Mungu wa bibi yetu? Sio kweli
Duh, kanisa lilikua na miradi mingi eeh?Pole sana mkuu. Unapotosha watu, huyu mama alikuwa mchungaji wa Tanzania Assemblies of God kabla hajajiondoa na kuandika Mikocheni B Assemblies of God. Baada ya kuwa na kanisa kubwa na miradi ya kanisa, alijiondoa kwasababu kwa mujibu wa TAG unatakiwa kukabidhi hati ya ya jengo la kanisa pamoja na miradi makao makuu ili iwe mali ya TAG.
Mbona unataka kupangiana maisha wewe? Fanya yako na niache nifanye yangu, nikimuombea wewe unapungukiwa nini?Ungelijua ukweli usingepoteza muda wako kuombea mwili uliorudi mavumbini, lakini pia unapaswa ujue kuwa Mungu wa bibi yetu hapatani na huyo Allah inalijua hilo?
Mbona unataka kupangiana maisha wewe? Fanya yako na niache nifanye yangu, nikimuombea wewe unapungukiwa nini?
[/QUOTE
Nataka uache uongo bhana, maana kwa Mungu wa mama Rwakatare baada ya kifo ni hukumu, hayo mambo ya kuombea waliokufa ni uongo mtupu.
Tanzia mpaka leo?