Mlikua mna share mke kumbe?,Pole sana Ephraim, tuko pamoja.
RIP Mke wetu Sarah.
P.
Wanaokufa katika mohammad hapo vipi?Pole sana Ephraim pamoja na familia yako,ndugu na jamaa wote walioguswa na msiba huu. Tumshukuru Mungu katika kila jambo. Heri wafao katika Kristu maana...
RIP Sarah.
Alikuwa anambeba kivipi..kuwalea watoto tu?Huyu mama alikuwa anambeba sana ndugu yetu ....kweli kapata pigo ..., itabidi abadili life style ili aweze kuwa karibu zaidi na watoto
Ukiwa bahati ukiwa na mke anayejali familia ...anasaidia sana kufunika madhaifu mengine upande wa baba ila sasa ikitokea hivi ...ndio sasa unaona pengo
unafikiri malezi ni kitu kidogo .....Alikuwa anambeba kivipi..kuwalea watoto tu?
Umeandika maneno yote lakini haujaweka kwa maneno mekundu ili watu tuelewe vizuri kama ni gitaa au hakuna gitaaPole sana Kaka yangu na Kiongozi wangu wa Kitaaluma pia Ephraim Kibonde kwa Kuondokewa na Mpendwa Mke wako Sarah. Binafsi naungana nawe katika Kipindi hiki Kigumu na namwomba Mwenyezi Mungu akutie nguvu, akupe rehema na uvumilivu pia. Kikubwa tumshukuru Mwenyezi Mungu na tumuombee sana Mpendwa wetu Sarah ili apokelewe vyema huko aendako.
Nimepokea taarifa hii kwa mshtuko mkubwa mno, najua maumivu uliyonayo Kaka ila jikaze na yote tumshukuru Maulana.
Amina!Apumzike kwa amani!
Kweli Mkuu, kuondokewa na mpendwa wako ni mtihani mkubwa sana, hasa mke ndiyo maana tumeshuhudia wengine wakiwafuata wake zao siku chache baada ya kuondoka duniani.Sikia tu Kibonde kafiwa, Castr kafiwa, ila ikifika nyumbani kwako ndiyo utaelewa vizuri.
Mungu aitie nguvu familia ya wafiwa.
Umeandika maneno yote lakini haujaweka kwa maneno mekundu ili watu tuelewe vizuri kama ni gitaa au hakuna gitaa
Si ndio kazi ya mke......Huyu mama alikuwa anambeba sana ndugu yetu ....kweli kapata pigo ..., itabidi abadili life style ili aweze kuwa karibu zaidi na watoto
Ukiwa bahati ukiwa na mke anayejali familia ...anasaidia sana kufunika madhaifu mengine upande wa baba ila sasa ikitokea hivi ...ndio sasa unaona pengo