TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde

Huyu mama alikuwa anambeba sana ndugu yetu ....kweli kapata pigo ..., itabidi abadili life style ili aweze kuwa karibu zaidi na watoto
Ukiwa bahati ukiwa na mke anayejali familia ...anasaidia sana kufunika madhaifu mengine upande wa baba ila sasa ikitokea hivi ...ndio sasa unaona pengo
 
Huyu mama alikuwa anambeba sana ndugu yetu ....kweli kapata pigo ..., itabidi abadili life style ili aweze kuwa karibu zaidi na watoto
Ukiwa bahati ukiwa na mke anayejali familia ...anasaidia sana kufunika madhaifu mengine upande wa baba ila sasa ikitokea hivi ...ndio sasa unaona pengo
Alikuwa anambeba kivipi..kuwalea watoto tu?
 
Pole sana Kaka yangu na Kiongozi wangu wa Kitaaluma pia Ephraim Kibonde kwa Kuondokewa na Mpendwa Mke wako Sarah. Binafsi naungana nawe katika Kipindi hiki Kigumu na namwomba Mwenyezi Mungu akutie nguvu, akupe rehema na uvumilivu pia. Kikubwa tumshukuru Mwenyezi Mungu na tumuombee sana Mpendwa wetu Sarah ili apokelewe vyema huko aendako.

Nimepokea taarifa hii kwa mshtuko mkubwa mno, najua maumivu uliyonayo Kaka ila jikaze na yote tumshukuru Maulana.
Umeandika maneno yote lakini haujaweka kwa maneno mekundu ili watu tuelewe vizuri kama ni gitaa au hakuna gitaa
 
Mke wa mtangazaji wa Clouds Media, Ephraim Kibonde, Sarah hatimaye amezikwa kwenye Makaburi ya Kinondoni. Kibonde analia sana mpaka anatia huruma, watoto pia wanalia sana, hakika kifo ni mtihani mkubwa sana katika maisha ya binadamu.

Sarah Kibonde alifariki Julai 11, 2018 katika Hospital ya Hindu Mandal alipokuwa akipatiwa matibabu.
 
Huyu mama alikuwa anambeba sana ndugu yetu ....kweli kapata pigo ..., itabidi abadili life style ili aweze kuwa karibu zaidi na watoto
Ukiwa bahati ukiwa na mke anayejali familia ...anasaidia sana kufunika madhaifu mengine upande wa baba ila sasa ikitokea hivi ...ndio sasa unaona pengo
Si ndio kazi ya mke......
ama nyie mmeoa wasela wenzenu!!!
 
Back
Top Bottom