Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
Ukifiwa na bibi mzaa bibi ni sawa.na mke?
Ukifiwa na bibi mzaa bibi ni sawa.na mke?
aisee hapa umejiexpozni jirani yangu ubungo makuburi.. na feel sory kwake sana na wanae
nilipo naangalia mpira na mwanae wa kwanza. hata hajui kama mama yake kafariki na imebidi nisimwambie tu
check your facts please
sarah ni dadake ephraem
Kila nafsi itaonja umauti- hii ni njia yetu sote yeye ametangulia tu "RIP"Mtangazaji maarufu Ephraim Kibonde amefiwa na mkewe usiku huu katika hospitali ya Hindu Mandal. Bwana ametoa Bwana ametwaa. Amen.
======
Mke wa Mtangazaji wa Clouds Fm katika kipindi cha Jahazi, Ephraim Kibonde amefariki.
View attachment 806825
Kwa mujibu wa Mtangazaji mwenzie Gadner G. Habash amesema Mke wa Kibonde aitwae Sara Kibonde amefariki usiku huu akiwa anapatiwa matibabu ktk hospitali ya Hindu Mandal. R.I.P
dada yake anaitwa sarah pia...jina la dada na mke yanaweza kufanana
Paschal unamaanisha kweli au kwa vile ni mtani? maana vijana hamueleweki nyie
dahHuyu mama alikuwa na mume wangapi?
nilijua tu kwenye huu uzi huwezi kosekana hapaPole sana Kaka yangu na Kiongozi wangu wa Kitaaluma pia Ephraim Kibonde kwa Kuondokewa na Mpendwa Mke wako Sarah. Binafsi naungana nawe katika Kipindi hiki Kigumu na namwomba Mwenyezi Mungu akutie nguvu, akupe rehema na uvumilivu pia. Kikubwa tumshukuru Mwenyezi Mungu na tumuombee sana Mpendwa wetu Sarah ili apokelewe vyema huko aendako.
Nimepokea taarifa hii kwa mshtuko mkubwa mno, najua maumivu uliyonayo Kaka ila jikaze na yote tumshukuru Maulana.
kuna watu mna manenonilijua tu kwenye huu uzi huwezi kosekana hapa