BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,041
Kweli kabisa mkuu. Pole sana ndugu yetu Kibonde!Mtihani mgumu sana huyo aisee.
Kweli kabisa mkuu. Pole sana ndugu yetu Kibonde!Mtihani mgumu sana huyo aisee.
Acha ndugu yangu MUNGU amtie nguvu Kibonde na watoto.Sikia tu Kibonde kafiwa, Castr kafiwa, ila ikifika nyumbani kwako ndiyo utaelewa vizuri.
Mungu aitie nguvu familia ya wafiwa.
Tabu ya nini tena mkuu...Mkuu utapata tabu sana
Si ile tabu aliyosema mkulu? Huu ushahidi wa kimazingira uliouweka hapa hakika utapata tabu sanaTabu ya nini tena mkuu...
Maana hadi moyo mefanya Pahh
PoleeRip
Jamani vitoto uwiii ehhh
Mkuu, huu ndio uzuri wa Jf kuwa na seva yenye hazina ya kutosha. Na hapo ndipo haswaaaa tunapo shauriwa tukuwe na akiba ya manenoSi ile tabu aliyosema mkulu? Huu ushahidi wa kimazingira uliouweka hapa hakika utapata tabu sana
Swadakta mkuu, umenena vyemaMkuu, huu ndio uzuri wa Jf kuwa na seva yenye hazina ya kutosha. Na hapo ndipo haswaaaa tunapo shauriwa tukuwe na akiba ya maneno
Kweli Gudume, sote tu wapitaji, haijalishi utaondoka kwa staili gani lakini utaondoka tu.Mkuu kwa heshima na taadhima. Ukifaham sabab ya kifo chake wewe itakusaidia nini? Mi nadhan kuwa tukio lenyewe ni kuwa kafariki. Kufa ni kule kule tu ndugu yangu. Unaweza usife kwa ugonjwa ukafa kwa ajali au kitu kingine kabisa. Ila yooooote hayo ni kifo. Mwisho wake ni kifo. Hayo mengine mngeachana nayo ndugu zangu watanzania.
Ni maamuzijina la dada na mke yanaweza kufanana
Una maana gani kuandika hivi
tunapendaa beer..
sisi sote tunapendaa beer...
Rafiki zako tunapendaaa beer..
Hata ukifa tutakunywaaa beer..
na Mimi Mume wako nitakunywaa beer..!!
Rafiki zako wote watakunywaa beer..
Hata watoto wakoo watakunywaa beer..
na wabaya wako watakunywaa beer..
kumbe ana mtoto mkubwa kbs,?ni jirani yangu ubungo makuburi.. na feel sory kwake sana na wanae
nilipo naangalia mpira na mwanae wa kwanza. hata hajui kama mama yake kafariki na imebidi nisimwambie tu
kumbe ana mtoto mkubwa kbs,?