MKURUGENZI WA SWEET FM MBEYA EMANUEL JOSEPH MBUZA AFARIKI DUNIA USIKU WA KUMKIA LEO
EMMANUEL JOSEPH MBUZA. Mhitimu wa Sangu High school(2007), aliyewahi kuwa Mfanyakazi wa Mbeya FM na generation FM, LLB & Masters ya sheria Tumaini University, Kijana mjasiliamali na mpiganaji, Katibu mwenezi wa mbeya mjini CCM, Mkurugenzi wa Sweet fm Radio, Sweet Televission na Action Mart Group of companies (Mzaliwa wa Mbeya aliekuwa anafanya biashara zake jijini Dar es salaam) Amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Mipango ya mazishi inafanyika kwa kaka yake Tabata - Dar es Salaam.

My take:
Ameondoka mapema sana. Mungu amlaze mahali pema peponi. Ni njia ambayo wote tutaipitia
EMMANUEL JOSEPH MBUZA. Mhitimu wa Sangu High school(2007), aliyewahi kuwa Mfanyakazi wa Mbeya FM na generation FM, LLB & Masters ya sheria Tumaini University, Kijana mjasiliamali na mpiganaji, Katibu mwenezi wa mbeya mjini CCM, Mkurugenzi wa Sweet fm Radio, Sweet Televission na Action Mart Group of companies (Mzaliwa wa Mbeya aliekuwa anafanya biashara zake jijini Dar es salaam) Amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Mipango ya mazishi inafanyika kwa kaka yake Tabata - Dar es Salaam.

My take:
Ameondoka mapema sana. Mungu amlaze mahali pema peponi. Ni njia ambayo wote tutaipitia
