mpuko
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 662
- 553
Mbuzax msiba wako ni pigo sana kwangu. Nakumbuka tulivyokuwa pamoja utotoni tukiinjoy ujana kwa matamasha mbalimbali mjini Mbeya. Kuanzia Mbeya club, youth center na Nbc hall
Growing up together!
Mbuzax msiba wako ni pigo sana kwangu. Nakumbuka tulivyokuwa pamoja utotoni tukiinjoy ujana kwa matamasha mbalimbali mjini Mbeya. Kuanzia Mbeya club, youth center na Nbc hall
Pu...mbavu zakona ife tu miccm haina faida tz
kafariki kwa tatizo gani? Mbona huyu mtoa mada kakimbia bila ufafanuzi?
mpiganaji wa nini?
:majani7:Wa maisha...aliuishi ule msemo wa "mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe"
Bado kuna aina ya vijana kama huyu wako wanaiamini CCM karne hii!!!