aisee, Fredy aliniuma sanaaa, alikuwa mcheshi sanaaa, hana pozi kabisaaa jamani, Mungu ampumzishe salama,Edwin tena jamani ndio kanichosha, sijui inakuwaje jamani, kama ni majaribu basi huyu mama anayapata, Mungu tu amsaidie, kijana aliebaki ndio huyo chapombe, kwa maneno yaliyokuwepo kuanzia msiba wa Fredy mama Mlay anatakiwa asawazishe mambo jamani! RIP Edwin.